Obama naye yumo!

Naona jamaa itabidi ampe Michelle maelezo ya how-kemu?

Mcheki Sarkozy naye kwa ubavu...mmmhhhh!!!!
 
Naona Obama unacheki msondo huo, mwenzake Sarkozy ndo du!.
 
Mara moja moja si vibaya kwani wakati mwingine utokea involuntarily.Unajikuta tuu umepoteza network.
 
Ndo utajua Berlesconi na Sarkozy hawatoshi!!!!!
 
Macho hayana pazia, hapo ndio wanaume tunaposhikiwa hata uwe na misuli au nguvu za nyuklia.. hapo utanywea tu.. Du kama vile Obama anasema cheki kiuno ka nyigu vileee... By the end of the day lazima uenjoy.....
 
Kaazi kweli kweli..lakini wahenga walisema kazi na dawa...
 
jamani ukweli unabaki palepale ya kuwa sisi wanaume rahisi kutegwa kwenye tundu dogo la wanawake haijalishi ya kuwa wewe ni nani?
 
Ni binadamu kama wewe vinginevyo marais wawekewe vizuizi vya aina yake wanapokuwa hadharani
 
Hiiiii kitu hiiii kitu, hi kitu...🙂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…