"Obama" wa Korogwe na vazi la kanga

"Obama" wa Korogwe na vazi la kanga

Jamaa alihojiwa na power breakfast ya cloouuuds akasema " dah ni katika kukumbatiwa kumbatiwa na kina mama wa UWT nikashangaa upande wa tenge uko begani bwana..." sikiliza hiyo audio clip for more...
 

Attachments

Jamani mi namjua huyu "Obama wa Koogwe) ni mtu muungwana sana, mchapakazi mahiri(ni mfanyabiashara) na mnyenyekevu na anayeheshimu watu wa rika lolote.
 
Jamaa alihojiwa na power breakfast ya cloouuuds akasema " dah ni katika kukumbatiwa kumbatiwa na kina mama wa UWT nikashangaa upande wa tenge uko begani bwana..." sikiliza hiyo audio clip for more...
Inaonyesha akina mama watampa!
 
Jamaa alihojiwa na power breakfast ya cloouuuds akasema " dah ni katika kukumbatiwa kumbatiwa na kina mama wa UWT nikashangaa upande wa tenge uko begani bwana..." sikiliza hiyo audio clip for more...

Hovyo kabisa..... yaani umerecord na simu mazungumzo haya sikiki vizuri.
 
Bado najaribu kufikiria nini hasa kinasababisha hii nayo kuwa hoja hapa jamvini....
mix with yours
 
Hapa napata kizunguzungu!!! Badal ya kuomba kura za ubunge anaweza akaomba za uenyekiti wa UWT!!! Tehetehe tehe...
 
kuna jamaa alibeba chupi ya mkewe akidhania kabeba leso....! mbele za watu akajifuta jasho...! loooooo!!!!!!!!!!
mbaya zaidi ilikuwa haijafuliwa....!

sasa jamaa alidhani kabeba bendera ya sisiemu...! :becky::becky::becky:




ma broda u remind me of dat famous story, "chupi ya mama dee"
 
Back
Top Bottom