Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,215
- 3,076
Mkuu haukawii kunichekesha na vijicomment vyako. Haya basi
mwanamume anakamua bata...π
Mazee mapigo ya Obama yako bomba sana. Mi nadhani being a president kuna wakati una-miss vitu fulani.Hivi siku moja JK nae angeamua yeye na familia yake wakaingia hata Marry brown wakajichanganya kuna ubaya? Mtu kila wakati unazungukwa na walinzi as if hukutoka huku kwa watu hawa? Itabidi jamaa zetu pale magogoni wamshauri muungwana ajichanganye ati au wanaogopa watampiga kabali ya mbao? Thanks for these pictures!!
Waaoo shukrani sana
Dah lakini sio mchezo, stress za nchi zinamzeesha mkulu...mnakumbuka alivyokuwa wakati anaaza kampeni??