Obama's Kenyan Birth Certificate Released!!!

Mama huyu ni mpumbavu aliyejawa na chuki dhidi ya OBAMA kwa sababu ya rangi ya ngozi yake na uhusiano wake na uislamu. Namshauri auridishe digrii yake ya udaktari huko alikoitoa kwa sababu anaaibisha kabisa hadhi ya udakitari. Anaongea kama mtu ambaye hakwenda shule, utadhani changudoa, wala hawezi kujibu maswali kwa mkato.

Angalia:

(1) Katiba ya Marekani inamtaka mtu anayetaka kuwa rais wa Marekani awe ni raia aliyezaliwa Marekani. haiangalii wazazi wake walitoka wapi. Nafasi pekee inatolewa kwa watu waliozaliwa nje ya Marekani kwa wazazi ambao ni raia wa marekani.

(2) Anashindwa kufahamu kuwa wakati Obama anazaliwa mwezi August mwaka 1961, Kenya ilikuwa haijapata uhuru. Kenya ilipata uhuru wake December 12, 1963 na ikawa jamhuri December 12, 1964 wakati ambapo baba yake Obama alikuwa ameshaoa mwanamke mwingine Ruth Nidesand aliyezaa naye watoto wawili.

(3) Angefanya utafiti wa kutosha vile vile angegundua kuwa mwaka huo wa 1961 Kenya, ikiwa koloni la mwingereza, hati zote za serikali zilikuwa zinaandikwa kwa mkono kutumia kalamu za kuchovya wino, siyo kwa taipuraita.
 
Jamani,you must undestand Obama is not liked by the whites s so all this stupid inventions of B certificate!

Nafikiri hapo kwenye bold, rekebisha na useme "Republicans + Racists", kama statement yako ingekuwa na ukweli leo hii Obama asingekuwa WH, majority ya wamarekani ni whites, so wasingempa kura zao 2008.
 
asante kwa darasa mkuu.....pia ikumbukwe pia mwaka huo sehemu anayodai obama kazaliwa mombasa ilikuwa sehemu ya ZANZIBAR na sio kenya....na pia kama ulivyosema mwaka 1961 hakukuwa na jamhuri ya kenya.....huyu mama kafulia mbaya
 
asante kwa darasa mkuu.....pia ikumbukwe pia mwaka huo sehemu anayodai obama kazaliwa mombasa ilikuwa sehemu ya ZANZIBAR na sio kenya....na pia kama ulivyosema mwaka 1961 hakukuwa na jamhuri ya kenya.....huyu mama kafulia mbaya

Hili la Mombasa kuwa sehemu ya Zanzibar huenda likazua mzozo kama Migingo, si unajua kuwa Wanzanzibar sasa hivi wamefulia na wanatoa matamko yasiyo na kichwa wala miguu. Ukweli ni kuwa Mombasa (10 mile strip of East African Coast) ilikuwa chini ya Sultani wa Zanzibar kwa makubaliano wakati wa Sultani Sayid Seyeed kama Historia yangu ya shule ya msingi na sekondari bado haijawa corrupted.
 
Huyu Mwanamke Malay* ni Myahudi (Jews) na ndiye kiongozi wa hao wanaojiita "Birther". Mayahudi ni watu wabaya sana. Hii ni movement iliyoanzia Israel na sasa hivi wameipeleka USA. Obama ni rais wa USA wakitaka au wasitake.

Tuko pamoja

Myahudi ni 'yahud' kama anavyosema Mwarabu kuwa ni watu wabaya sana. Mtoto akizaliwa uyahudini kama mimba si ya myahudi na mama ni mhyahudi basi kichanga kinauwawa.
Hakuna Yahudi anayezaa na asiye 'Yahudi' na Yahudi haongozwi na asiye 'MYahud'.
Inawauma sana wayahudi kuongozwa na mtu mwenye jina la kiarabu/kisawhili. Hata ile kuongea na nchi za kiarabu kama Egypt na hata kuzitemblea nchi za kiarabu bila kufika Tel Aviv

Nawasilisha
 
asante kwa darasa mkuu.....pia ikumbukwe pia mwaka huo sehemu anayodai obama kazaliwa mombasa ilikuwa sehemu ya ZANZIBAR na sio kenya....na pia kama ulivyosema mwaka 1961 hakukuwa na jamhuri ya kenya.....huyu mama kafulia mbaya

Kwa taarifa yenu huwa wazungu hawaijui historai za Africa na hata hawataki kuisikia, huwa wanakurupuka sana. Kwa mfano. Huku majuu wazungu wanajua OLduvai George ya pale binadamu wa kwanza kuonekana fuvu lake wanasema ni Kenya, Mlima kilimanjaro upo Kenya, Kahawa ya Arabika yatoka kenya na Tznite yatoka kenya. Kweli hapa jamani kuna utafiti? Hawa watu ni wavivu sana kufanya tafiti na huwa wanakopi ili kupta hata hizo doctorate hapa wako wengi sana baba huwa siwaamini ingawa wanafyatua vitu vikubwa kweli kweli.
 
Soma Hapa

Its a Fake

Anti-Obama lunatics living in denial

They are living in denial. In America they are equated to lunatics, but their push to drop anything credible to force President Obama out of office includes forgery in the land of Obama’s father.

The group — the birthers — are the fringe “lunatics” who insist Obama is not a natural-born citizen — a US constitutional requirement for the presidency.

Russian-born lawyer, dentist and estate agent Orly Taitz, on the eve of Obama’s 48th birthday, told CNN’s David Shuster: “Your listeners need to know the truth”.

But the birth certificate purporting Mr Obama was born in Kenya differs with genuine certificates issued in the early 1960s, the Nation can reveal.

Certificates issued during the colonial period were marked “Colony and Protectorate of Kenya”. Today’s have the logo of the Government of Kenya, with a seal.

Orly, the most prominent anti-Obama “birther”, recently released a document entitled “Certified Copy of Registration of Birth” stating Obama was born on “4th August, 1961 at Coast General Hospital.”

The supposed copy dated 17th February 1964 carries the signature of deputy registrar Joshua Simon Oduya, along with the inscription “Office of the Principal Registrar, Coast Province, Republic of Kenya.”

Researchers point out that while Kenya became an independent nation in December 1963, it remained known as the Dominion of Kenya until December 1964 — 10 months after the “certified copy” was allegedly made.

The document also refers to the signature of “registrar E. F. Lavender,” which, The Washington Independent points out, “happened to be the name of a popular soap in Kenya.”

The Independent also quotes Jon Chessoni, a first secretary at the Kenyan embassy in Washington, as calling the claims madness. “His father, in 1961, would not even have been in Kenya,” he said.

A British professor in African history points out the term “Coast Province” could not have been used in early 1964, Dan Branch, of the University of Warwick, said at that time, Kenyan provinces were referred to as “regions.”

The “birthers” attract some media attention in the US. Officials there have said repeatedly that they have no doubt about the authenticity of an Obama birth certificate indicating the president was born in Honolulu, the state’s capital city.

Some “birthers” critics suggest it is motivated by racism. “Is the fact that he is the first African-American president a factor?”

Washington Post columnist Eugene Robinson asks. “Is it that some people can’t or won’t accept that he won the election and serves as commander in chief?

Immigration minister Otieno Kajwang’ dismissed the documents thus: “If we get those individuals, they will be jailed for forging government documents.”

According to a poll released last week by Research 2000, 28 per cent of Republicans think that Obama was not born in the US and another 30 per cent are “not sure”.

Eligibility

Adding “credibility” to the “birthers” are Alan Keyes, a former Republican presidential candidate, who has filed a lawsuit questioning Obama’s eligibility for office, and Republican senator James Inhofe, who says he can’t bring himself to “discourage” the movement.
Names aside, Mombasa, where the certificate says he was born, belonged to Zanzibar at the time , not Kenya. And so on.
 
We can say the woman is determined to take Obama down but if she is doing this with black heart am very sure that she shall never make a step forward.
 
****Ni kweli hicho cheti cha kuzaliwa ni cha Kenya...Lakini sio cheti cha mwaka 1961...Wakati huo hakukuwa na Jamhuri!

Huyu mama na Urusi/Uyahudi wake wote na kuwa ni Dr. kaingizwa mjini na watoto wa MUJINI? Duu hii kali sana.

Nashindwa kujua huyo alikuwa ni Mkenya au Mtanzania maana kwa utapeli na sisi siku hizi hatujambo. Huyo mama kweli hamnazo. Wee cheti la mwaka 1963 hadi leo bado lina hali nzuri namna hiyo? Linatunzwa wapi?

Itabidi ajibu katoa wapi hiyo karatasi au wameifyatua wapi. Wakenya ndiyo kwanza wanasema "Sisi hatuitambui". Mama kashaenda na maji huyu yeye na genge lake. Labda ndiyo maana kakimbilia Izrael na kwa maoni yangu ni heri arudi Russia akajifiche Kamchatka.
 
We can say the woman is determined to take Obama down but if she is doing this with black heart am very sure that she shall never make a step forward.

Simply we can say "She has failed" and will regret for this, nobody is joining her now, even Republicans who used her for this are now distancing themselves from these racists called "birthers".

Hercules Obama has choped off the second head of the seven heads dragon, following the stimulus bill victory and today he's going to chop off another when his SCOTUS apointee Sotomayor be confirnmed.
 
nijuavyo mimi marekani ni ya wageni wengi sana maana hata hao wenyeji ni asilimia ndogo sana ya wageni sasa hao jamaa labda ni racists TU!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…