Observation yangu kwenye stori ya Le Mutuz

bogosho

Senior Member
Joined
Jan 5, 2018
Posts
151
Reaction score
352
Jamaa ameandika stori yake ya ndoa kuhusu kuachana na mke wake amemkandia kwamba mke wake ndo chanzo cha kuvunjika ndoa na mambo mengi tu

Sema sasa sijaelewa kabisa chanzo cha hiyo ndoa kuvunjika maana anasema wabongo waishio New York ndo walichangia zaidi yeye kuachana na mke wake kwasababu walikuwa wanamchukia na hajaeleza chanzo cha wao kumchukia mana stori yake hajasema kama alikuwa na tatizo na mbongo yoyote

Sasa swali langu huyu jamaa alikua anachukiwa kwa kosa gani?

Mimi ninavyojua huwezi kuchukiwa na watu wote bila sababu ya msingi it is obvious Le Mutuz alikua mkorofi ndio maana jamii yote ya wabongo New York ikamchukia.

Ps: Hio ni observation yangu tu kuhusu stori yake don't take it personal
 

1. unatumia ID feki, in other words hatukufahamu kabisa , mwenzio anajulikana na unajua ni nani na came out boldly to write the facts, so wa kuja kupinga ni aliyekuwa mkewe

2. haujaelewa chanzo cha ndoa kuvunjika, (ulitakiwa kuuliza, au soma tena)
3. umefanya vizuri sana kuuliza alikuwa anachukiwa kwa kosa gani -hongera
4. obvious....na uka conclude, umeishajibiwa swali? obvious ume fanya citation ipi? basis ya conclusion zako ni nini? ( refer waliomchukia, na angaia na wewe unachofanya, hauoni mnaangaukia kapu moja), wivu, chuki na predetermined judgement! wabongo wengi mko hivyo ni wachawi

5. who is bashite? anaingia vipi kwenye hii story?

The fact that umefuatilia story yake mpaka hatua ya sasa, ni uthibitisho tosha kuwa ubongo wako, energy yako, uwezo wako na muda wako uli u dedicated humbly to Lemutuz!!! kama game hapa mkuu umejidhalilisha sana, unafuatilia story ya mtu, kuanzia A to Z, kuliko quran wala biblia, wakati unafuatilia ulikuwa peke yako ( tena ulikuwa mpaka unakesha!!)...unataka sasa uanze kumponda kwa kutafuta platform ya haters wengine kama wewe waje tu!!

Imagine unafuatilia hadithi ambayo wala haukuwahi kujua kuwa itakuja, mshukuru ame ku keep busy!

Mbona kaandika vingi mkuu, umeona eneo hilo tu??

wewe ni mtumwa wa kila kitu, kwenye brain umeshaingia tunduni umesoma weeee! halafu unataka tuchangie hisia zako

looser
 

Asipoelewa hapa atakuwa na bichwa gumu mno.
 
Pambana na hali yako wewe, Le kokobanga kishapambana vya kutosha. Mke wake keshatoa yake humu kitambo kwahio hana jipya kwa sasa tunasubiri kitabu sie.
 
Nyie vijana wapiga kelele hapa nendeni mkapange foleni pale kwa Lemutuz awafundishe maisha. Huyo jamaa nilikuwa namdharau na kumuona mtu wa kawaida tuu, lakini baada ya story yake hiyo ya kweli(ikiambatana na picha halisi za matukio) nimemkubali sana. Kuhusu kuchukiwa na wabongo pale US subiri kitabu ambacho kitazinduliwa wiki nne zijazo, amesema kwenye story hii vitu vingi hajaviweka mpaka utakaponunua kitabu.
 
Asante mama Lemutuz kwa kumsema huyu jamaa. Lakini pia nawe hujasema kwa nini Lemutuz alikuacha/mliachana? Vipi bongo family US ilihusikaje na ndoa yenu hadi mkaachana? Tuweke wazi tafadhali

Mkuu ebu fundisheni na encourage vijana wetu wakawa wanaweza kuwa na hoja, kujenga hoja na kuw ana ile 'uanaume' au masculine behaviour!, hauwezi kusoma story ya mwanaume mwenzako, kisha unakuja kuanzishia thread na kuonyesha chuki. Ulichofanya hapa wewe ni mwendelezo ule ule, tabia ile ile, na akili ile ile ya huyo bwana. Mlidhani atapita free tu!! sasa ebu imagine pamoja na kuwa uko nyumba ya keybord, we can only assess your brain kwa andiko lako kama hili!! Litabadilisha nini? maana uko exposed
 
Asipoelewa hapa atakuwa na bichwa gumu mno.

Kabisa mkuu, nitampa sifa sna Le mutuz akiaandika kitabu pia

Jamii zetu za ki africa tuko nyuma kwa sababu vitu vingi hatuviandiki, hatuvi document
ukienda europe wenzetu library zao zina maandiko ya miaka 1500s,

sasa kutafuta documents za mkwa na 1930s NGUMU, sana unaweza kuzipata kwa bahati sana tena ulaya kwa waliokuwa wakoloni

Akili ya kuandika historia, au maandiko ambayo yanaweza kutunzika ni muhimu sana kwa jamii yetu

ukienda vijijini let say karibu kila kabila, miaka ya 1960s walikuwa wengi wanatumia mitishamba kuponya magonjwa almost yote, our forefathers and great grandpas they had that knowledge.....HATUJAI DOCUMENT mahali, imepotea tumebakiza wamasai tu tena nao wengi siku hizi wahuni. China wenzetu walitunza madawa yao hata leo hii

Mifano iko mingi ambapo Taifa linapaswa ku encourage watu kuandika mambo mbalimbali kama kumbukumbu na learning platform ya vizazi vijavyo
 
Mbona we mwenyewe unaandika nonsense yeye kasema ni
 
Kuna mtu kajibu kwa uchungu humu utadhani yeye ni mzazi wa kike wa jamaa

hauwezi ukasoma story ya mwanaume mwenzako, kuanzia mwanzo mpaka mwisho kisha ukaja kuanzishia thread hapa!! ebu fikiria akili hiyo, ya kike!! vijana mna vi element vingi sana vya ukikekike, tutawafundisha mtu at least mkivaa suruali muonekane mnafanana na wazee wenu
 
Mbona we mwenyewe unaandika nonsense yeye kasema ni

Hii thread inakuwa kama muda wa usiku TAA imewaka wadudu wanakuja pale kwenye TAA kuzunguka zunguka, actually palek kuna wadudu washamba wa taa, ila wengine dio wanahemuka na ile taa

vijana wote ambao hamna akili vizuri, nusu taahira nusu zezeta mtakubaliana na mwanzisha thread na lazima mtakuja kuponda tu

sasa mkuu ebu niambie hapo juu ulitaka kusema nini?

kuna thread au hoja ni bora ukae kimya!!

waite wenzako njooni hapa kushambulia, niwape kitechen party, unyago na few of you JANDO

wa jando huwa wanaelewa haraka na sina shida kutoa somo

wa unyago nitamuita ngariba
 
Hahah! sawa mkuu nimekuelewa mana asubuhi yote hii tukianza taarabu hapa itakua sio issue. Sorr kama nimekukwaza
 
Umemnyoosha kubabeq [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119]
 
Asante mama Lemutuz kwa kumsema huyu jamaa. Lakini pia nawe hujasema kwa nini Lemutuz alikuacha/mliachana? Vipi bongo family US ilihusikaje na ndoa yenu hadi mkaachana? Tuweke wazi tafadhali
Bado hujamuekewa kabisa huyo jamaa,otherwise umeandika ili uonekane umeandika tu,hii tunaita tabia ya panya popote apitapo aidha atakun.ya au kukojoa ili ujue tu kwamba alikuwepo eneo hilo....jaribu kurudia alichoandika huyo jamaa tena rudia kwa umakini mkubwa utamuelewa,otherwise na wewe unaangukia kwenye kundi la mtoa mada!
 
mzee baba nimeshasema don't take it personal nimesoma stori yako kweli nmevutiwa na uandishi ndo maana nikaisoma na ni nzuri sana stori yako
umepitia mengi na hayo maoni yangu hayakua yamebase kwenye chuki labda kama io chuki unataka kuitengeneza sasa hivi
swali langu kuu ni kwamba why the hell uchukiwe na jamii nzima ya wabongo New York? ulikua kasoro gani kila mtu akuchukie? huwez kupendwa na kila mtu ilo tunafahamu ila pia huwez pia kuchukiwa na jamii nzima ya wabongo afu useme walikua wanaona wivu maendeleo yako pale Us na hapo hapo husemi kasoro zako

tatizo la watu kama le mutuz ambao wanashambuliwa sana na jamii ni kwamba kila mtu anamwona ni hater badilisha io mindset bwana ukiprint kitabu kikawa na mapungufu kama hayo watu wataona ni kama hadithi za kusadikika unapewa changamoto utengeneze kitu bora sio unawaza kila mtu anakuhate
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…