OC CID asema Godbless Lema hastahili kuota ndoto

OC CID asema Godbless Lema hastahili kuota ndoto

1.Hatutakiwi kusema Vyuma vimekaza.
2. Hatutakiwi kuota ndoto before 60 yrs.

Mpk huu utawala ukome tutakua tushapangiwa mpk bao za kupiga kwa wake zetu.
Itakuja mpaka amri ni marufuku kuja%&mba kama huna umri zaidi ya miaka 60 unatakiwa kujisaidia moja kwa moja tuu. Hatutaki kelele!
 
Kigezo kikuu cha kujiunga na polisi kwa miaka mingi sana kimetajwa kuwa ni UREFU pekee . Hata kama mrefu huyo kichwani ni tikiti maji ! Sina hakika kama siku hizi kimebadilishwa

Labda kimebadilika kwani wafupi pia ninawaona. Lakini yawezekana anayewapima urefu kabla ya kujiunga hasomi vizuri ile scale ya urefu.

 
MKUU wa upelelezi wilaya ya Arusha(OC-CID), Damas Masawe (44) amesema wazee pekee ndio wanaotakiwa kuota ndoto hivyo Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema hakustahili kuota ndoto dhidi ya Rais John Magufuli kwa kuwa bado ni kijana.

Ameyasema hayo leo mbele ya hakimu mfawidhi wa mahakama ya wilaya ya Arusha ,Devotha Msofe wakati akitoa ushahidi wake kwenye kesi ya uchochezi namba 440/2016 inayomkabili Lema anayedaiwa kumdhalilisha Rais Magufuli.

Ameieleza mahakama kuwa kwa mujibu wa kitabu cha kitakatifu cha biblia imeandikwa wazee pekee ndio wataota ndoto hivyo kwa kuwa Lema hajafikisha umri wa miaka 60 hatakiwi kuota ndoto bali wazee wanaotakiwa, wapumzike ,watafakari na kuota ndoto.

Hata hivyo shahidi huyo alieleza mahakama hiyo kuwa ingawa yeye sio mtaalamu wa masuala ya imani lakini anaamini kuota ndoto sio kosa ila kosa ni kuadithia ndoto .


“Kuota ndoto sio kosa lakini kuadithia ndoto yako ni kosa hayo maneno laiti ningekutana naye uchagani kama kaka yake angeniambia wala nisingekuwa na shida lakini aliyatolea mkutanoni," alieleza Massawe.


NILIMTOLEA LEMA BASTOLA

Shahidi huyo ameieleza mahakama kuwa alilazimika kumtolea bastola mbunge Lema katika eneo la kambi ya Fisi juni 22, mwaka jana kwani alikuwa anajaribu kutoroka.

Massawe alida kwenye eneo hilo Lema alikuwa akihutubia mkutano wa hadhara huku akisisitiza hana ugomvi na Lema kwa kuwa hata watoto wa mbunge huyo wanampenda sana.

Awali ,Massawe akiongozwa na wakili wa serikali,Agnes Hyera kutoa ushahidi wake alidai kuwa kwenye mkutano huo wa Lema kulikuwa na watu 200.

Alidai kitendo cha Lema kumwita Rais Magufuli ana kiburi na kumtabiria kifo ni kuamsha chuki kwa wananchi waliomchagua na hakupendezwa na maneno hayo na hivyo aliamua kumchukulia hatua kwani kwa wakati huo alikuwa akikaimu nafasi ya mkuu wa polisi wilaya ya Arusha.(OCD).

Shauri hilo linalovuta hisia za wengi limeahirishwa mpaka Januari 22,mwakani litakaposikilizwa siku tatu mfululizo mpaka januari 24 ambapo upande wa mashtaka unatarajia kuendelea kuleta mashahidi wengine.
Ha ha ha!!! Du mwisho tutaambiwa hatustahili kulala ili tusiote ndoto!!!!
 
MKUU wa upelelezi wilaya ya Arusha(OC-CID), Damas Masawe (44) amesema wazee pekee ndio wanaotakiwa kuota ndoto hivyo Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema hakustahili kuota ndoto dhidi ya Rais John Magufuli kwa kuwa bado ni kijana.

Ameyasema hayo leo mbele ya hakimu mfawidhi wa mahakama ya wilaya ya Arusha ,Devotha Msofe wakati akitoa ushahidi wake kwenye kesi ya uchochezi namba 440/2016 inayomkabili Lema anayedaiwa kumdhalilisha Rais Magufuli.

Ameieleza mahakama kuwa kwa mujibu wa kitabu cha kitakatifu cha biblia imeandikwa wazee pekee ndio wataota ndoto hivyo kwa kuwa Lema hajafikisha umri wa miaka 60 hatakiwi kuota ndoto bali wazee wanaotakiwa, wapumzike ,watafakari na kuota ndoto.

Hata hivyo shahidi huyo alieleza mahakama hiyo kuwa ingawa yeye sio mtaalamu wa masuala ya imani lakini anaamini kuota ndoto sio kosa ila kosa ni kuadithia ndoto .


“Kuota ndoto sio kosa lakini kuadithia ndoto yako ni kosa hayo maneno laiti ningekutana naye uchagani kama kaka yake angeniambia wala nisingekuwa na shida lakini aliyatolea mkutanoni," alieleza Massawe.


NILIMTOLEA LEMA BASTOLA

Shahidi huyo ameieleza mahakama kuwa alilazimika kumtolea bastola mbunge Lema katika eneo la kambi ya Fisi juni 22, mwaka jana kwani alikuwa anajaribu kutoroka.

Massawe alida kwenye eneo hilo Lema alikuwa akihutubia mkutano wa hadhara huku akisisitiza hana ugomvi na Lema kwa kuwa hata watoto wa mbunge huyo wanampenda sana.

Awali ,Massawe akiongozwa na wakili wa serikali,Agnes Hyera kutoa ushahidi wake alidai kuwa kwenye mkutano huo wa Lema kulikuwa na watu 200.

Alidai kitendo cha Lema kumwita Rais Magufuli ana kiburi na kumtabiria kifo ni kuamsha chuki kwa wananchi waliomchagua na hakupendezwa na maneno hayo na hivyo aliamua kumchukulia hatua kwani kwa wakati huo alikuwa akikaimu nafasi ya mkuu wa polisi wilaya ya Arusha.(OCD).

Shauri hilo linalovuta hisia za wengi limeahirishwa mpaka Januari 22,mwakani litakaposikilizwa siku tatu mfululizo mpaka januari 24 ambapo upande wa mashtaka unatarajia kuendelea kuleta mashahidi wengine.
Huyu kamanda hajasoma kitabu cha MWANZO ambapo Yosefu aliota ndoto kibao akiwa kinda na kuzimwaga hadharani.

Sijui umri wa miaka 60 ni aliisoma wapi na kuzimwaga njozi hadharani ni kosa kwenye sheria ipi au anajitungia sheria zake mwenyewe?
 
Tumeamua kwenda huku waliko Waganda, Wanyarwanda, Wakongo Man na Wenzetu wa Burundi. Tutafika tu. Bado kitambo kidogo takribani miaka 24 (10 +14) tu kufika huko. Ibara za 40 (2) na 42 (3) zimepitwa na wakati sasa.
 
Kumbe ndio maana sioti eeh Mungu nipe miaka mingi nianze kuota.
 
Zecomedy mwendelezo,
Fumbua jicho lako tatu
Utaona kibanzi
Chenye sura andazi
Kumbe gada la andazi
Bora nijambe ushuzi
Labda utasikika kwa kiongozi
Mana machozi yametoka sana
Bado napigwa makonzi
Ukali wa kitungu co kama wa tangawizi japo utiwa sukari kuonekana tamu sana

Time will tell
 
Hakimu hakimu hakucheka kweli???[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]
 
Ila sishangai saana kama mkuu wa kaya mwenyewe ni cosby sasa watoto wakirithi mambo ya Mr.Bean unatarajia nini hasa
 
Daaaah.. Kuna siku tutapangiwa hadi mabao ya kupiga kitandani!

[HASHTAG]#VyumaVimelegea[/HASHTAG]
 
MKUU wa upelelezi wilaya ya Arusha(OC-CID), Damas Masawe (44) amesema wazee pekee ndio wanaotakiwa kuota ndoto hivyo Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema hakustahili kuota ndoto dhidi ya Rais John Magufuli kwa kuwa bado ni kijana.

Ameyasema hayo leo mbele ya hakimu mfawidhi wa mahakama ya wilaya ya Arusha ,Devotha Msofe wakati akitoa ushahidi wake kwenye kesi ya uchochezi namba 440/2016 inayomkabili Lema anayedaiwa kumdhalilisha Rais Magufuli.

Ameieleza mahakama kuwa kwa mujibu wa kitabu cha kitakatifu cha biblia imeandikwa wazee pekee ndio wataota ndoto hivyo kwa kuwa Lema hajafikisha umri wa miaka 60 hatakiwi kuota ndoto bali wazee wanaotakiwa, wapumzike ,watafakari na kuota ndoto.

Hata hivyo shahidi huyo alieleza mahakama hiyo kuwa ingawa yeye sio mtaalamu wa masuala ya imani lakini anaamini kuota ndoto sio kosa ila kosa ni kuadithia ndoto .


“Kuota ndoto sio kosa lakini kuadithia ndoto yako ni kosa hayo maneno laiti ningekutana naye uchagani kama kaka yake angeniambia wala nisingekuwa na shida lakini aliyatolea mkutanoni," alieleza Massawe.


NILIMTOLEA LEMA BASTOLA

Shahidi huyo ameieleza mahakama kuwa alilazimika kumtolea bastola mbunge Lema katika eneo la kambi ya Fisi juni 22, mwaka jana kwani alikuwa anajaribu kutoroka.

Massawe alida kwenye eneo hilo Lema alikuwa akihutubia mkutano wa hadhara huku akisisitiza hana ugomvi na Lema kwa kuwa hata watoto wa mbunge huyo wanampenda sana.

Awali ,Massawe akiongozwa na wakili wa serikali,Agnes Hyera kutoa ushahidi wake alidai kuwa kwenye mkutano huo wa Lema kulikuwa na watu 200.

Alidai kitendo cha Lema kumwita Rais Magufuli ana kiburi na kumtabiria kifo ni kuamsha chuki kwa wananchi waliomchagua na hakupendezwa na maneno hayo na hivyo aliamua kumchukulia hatua kwani kwa wakati huo alikuwa akikaimu nafasi ya mkuu wa polisi wilaya ya Arusha.(OCD).

Shauri hilo linalovuta hisia za wengi limeahirishwa mpaka Januari 22,mwakani litakaposikilizwa siku tatu mfululizo mpaka januari 24 ambapo upande wa mashtaka unatarajia kuendelea kuleta mashahidi wengine.
19/10/2019
 
Back
Top Bottom