October 1st 2016; Diamond na WCB kuibadilisha Tasnia ya Bongo Fleva tena

October 1st 2016; Diamond na WCB kuibadilisha Tasnia ya Bongo Fleva tena

Ngoja nisevu mie pesa nikae mbele na nikajimwage...jana niliishia kuangalia kideo cha dk 1 mara nyingi...hadi raha...utamu...alichorusha insta
 
Wasanii wabongo wengi, wana sauti mbaya live, namkubali Platnumz ameleta revolution kubwa sana bongo flava lakini kwenye kuimba live ni full aibu. Ngoja tusubiri tuone kama vocals zao zimebadilika kimiujiza.

Jamaa kaimba miaka mingi natumai atakua kajifua kwenye sauti natural kama alivojifua kwenye dance, hawa wenzake wa juzijuzi mhh!


Eeeeeeh miziki yake inasikilizwa au haipigwi sana?....eeeeeh

Acha tunaoona anatupoza roho tuzidi kumshabikia na kumsikiliza
 
Mwaka 2015 alipata tuzo nyingi sana kwenye kipengere cha MTUMBUIZAJI BORA AFRICA na hii tuzo wanaangalia vitu vingi na kimojawapo ni jinsi unavyolimudu jukwaa na kulimudu jukwaa ni pamoja na puumzi, sio upo jukwaani umesimama kama mlingoti huwezi kushinda hizo tuzo.
mkuu we unazungumzia tuzo zinazopigiwa kishabiki bongo team hizi
 
mkuu we unazungumzia tuzo zinazopigiwa kishabiki bongo team hizi
Hizo tuzo za kimataifa maamuzi ya mwisho ni za majaji,kura zitaongezea nguvu kama majaji wanavutana tu. Achana na hizi tuzo EATV,KTMA ua zile za kuishia kenya.
 
HIVI Diamond kawakosea nn watanzania kias cha kuonekana si lolote kwa baadhi ya watu.......

nakumbuka enz za marehemu kanumba alipgwa vita hivi hvi alipofarik tumeona bongo movie ilipoishia...

tujifunze kukubali vya kwetu kwa maana hakuna alie mtimilifu.
 
Usitake kupima pumzi ya Diamond na Christian Bella kwa namna yoyote halafu uje useme kirahisi tu kwamba itakuwa show ambayo haijawahi kuonekana ukanda as Africa mashariki
Watu tunazungumzia mwanamuziki anayetambulika na Africa kama sio Duniani kwa ujumla wewe unaleta stori za hisia, Hapa hatuongei hisia tunaongea ukweli uliopo. Ubora wa msanii unaenda sambamba na thamani yake. Kama kuimba hata Bi Kidude alikuwa anaimba na kwasasa hata Man Fongo anaimba,ila tunawatofautisha kwa THAMANI ZAO.
 
HIVI Diamond kawakosea nn watanzania kias cha kuonekana si lolote kwa baadhi ya watu.......

nakumbuka enz za marehemu kanumba alipgwa vita hivi hvi alipofarik tumeona bongo movie ilipoishia...

tujifunze kukubali vya kwetu kwa maana hakuna alie mtimilifu.
Umenena mkuu mpaka atoweke ndo tutaona umuhimu wake jamani tubadilike basi
 
.......Waswahili kwa NONGWA .....Vijana WETU ki ukweli wanafanya VIZIRI ktk game.....sio MPAKA aje WizkiD ss na KIdhungu chetu cha kuunga Unga HAKUNA lolote TU support vya KWEtu kama HUNA hela ACHA kuponda.**PAMBAZU**ka!
 
Sasa kupiga show za mchangan escape1 ndiyo revolution kwi kwi kwi kwi kwi kwi maana hata juzi snura na sepetu kajaza escape1 kwny usiku wa vigoma.
 
Fm academia, Christian Bella, Akudo, Jose Mara ndio nawakubali kwenye live band hao bongofleva wakasome ni promo tu hii
 
Sasa kupiga show za mchangan escape1 ndiyo revolution kwi kwi kwi kwi kwi kwi maana hata juzi snura na sepetu kajaza escape1 kwny usiku wa vigoma.
Hujapataga tu vidonda vya tumbo, make unaemchukia kila siku anazidi kuwa juu zaidi ya jana.....tupe siri asee au unakunywa maji ya alovera
 
Back
Top Bottom