johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mwaka 2015 Lowasa alisema akishinda atamleta Gavana mstaafu wa BoT Dr Balal aliyeaminika kuwa amekufa
Kubenea akiwa Mbunge wa Chadema alisema anajua Msaidizi wa Mwenyekiti wa Chadema Mh Ben Saanane alipo kwani huwa anamkuta Maktaba akisoma Magazeti
Kubenea ni Muislamu dini ya Amani hivyo tunaamini October atamaliza huu Utata Ili Amani irejee baada ya Vita aliyoanzisha Kabendera kitabuni kwake
Ahsanteni Sana 😃
Kubenea akiwa Mbunge wa Chadema alisema anajua Msaidizi wa Mwenyekiti wa Chadema Mh Ben Saanane alipo kwani huwa anamkuta Maktaba akisoma Magazeti
Kubenea ni Muislamu dini ya Amani hivyo tunaamini October atamaliza huu Utata Ili Amani irejee baada ya Vita aliyoanzisha Kabendera kitabuni kwake
Ahsanteni Sana 😃