Wema na Kajala wamezipigaaa jamanii
Halaf una akili sana dah, nadhan apo umemaliza kila kit, bhas sawaa
Kisa nini tena? ,nipe ubuyu shost wengine tuko mbali tunapitwaaaaa
tuwekee picha
Niliuliza swali hapa kwamba km kweli alizoea maisha ya juu kabla ya ndoa na mzungu why shobo zinazidi km mtu aloyajulia ukubwani???? Kwa maisha ya sasa anayoishi ni ya kawaida sana tu labda hayo ya enzi hizo kabla sijaja mjini ambayo me siyajuiyule anaishi maisha ya juu hata kabla ya kuolewa na mzungu...sema mzungu kayapandisha zaidi..
Niliuliza swali hapa kwamba km kweli alizoea maisha ya juu kabla ya ndoa na mzungu why shobo zinazidi km mtu aloyajulia ukubwani???? Kwa maisha ya sasa anayoishi ni ya kawaida sana tu labda hayo ya enzi hizo kabla sijaja mjini ambayo me siyajui
Niliuliza swali hapa kwamba km kweli alizoea maisha ya juu kabla ya ndoa na mzungu why shobo zinazidi km mtu aloyajulia ukubwani???? Kwa maisha ya sasa anayoishi ni ya kawaida sana tu labda hayo ya enzi hizo kabla sijaja mjini ambayo me siyajui
Nashangaa Warumi hajaiandikaa hiii sijui kwa niniii
Hawakutaka kupigana ila team wema na team kajala ndo walikuwa wanaleta shida, walitaka kuvunja gari jipya la kajala akafanikiw kutoroka nasikia ilikuwa patashika maisha club, wenyew wala hawana shida team zao sasa
Pengine ata jide anaweza kumpita kimaisha sema tu yeye kwa kuwa anaish nje ndo maana wengi wanamuona anazo ila kawaida
mashauzi ni jadi yake..na yeye ndivyo alivyo
Mume mwenyewe nasikia muuza maua lol eti Archtecture hata jide tu anamali kuliko albino wake huyo, mbona wenzie akina TK na Odemba wako kimya tu.
Mndengereko mbona nimechelewa kukufaham.... kweli first classusijali ukiona mwenzako ananyolewa zako tia maji... Heaven on Earth ataleta mrejesho chanya hapa so get ready.
Mume mwenyewe nasikia muuza maua lol eti Archtecture hata jide tu anamali kuliko albino wake huyo, mbona wenzie akina TK na Odemba wako kimya tu.
come get me napatikana all the time pm me.
Tupo wengi ukimalizana na Heaven on Earth utuunganishe na sisi kwa waheshimiwa wenzio