Gossipcopwarumi tuletee mpya za Leo plz
Nimerudi ila nitakuwa busy kidogo...kikaangoni leo tunamuweka nani manake kazi zenyewe hakuna na umbea nao tushindwe??
Hahaa haiwezekani tushindwe vyote.....Nimerudi ila nitakuwa busy kidogo...kikaangoni leo tunamuweka nani manake kazi zenyewe hakuna na umbea nao tushindwe??
hivi mnajua kama warumi a.k.a Gossipcopwarumi ni mwanaume ? sa hebu msimharibu kijana wetu mana mnaquotiana naye kikikekike kiasi na yy anajisahau. kiroho safi na sidai chochote meamua kutoa ushauri huu buree..
hivi mnajua kama warumi a.k.a Gossipcopwarumi ni mwanaume ? sa hebu msimharibu kijana wetu mana mnaquotiana naye kikikekike kiasi na yy anajisahau. kiroho safi na sidai chochote meamua kutoa ushauri huu buree..
Nimerud binamuuuuuu
Tunajua, asante kwa ushauri ila hatuuhitaji
Hahaaaa nimeipenda hii
Mwenzangu anataka kutuchafulia hali ya hewa
hivi mnajua kama warumi a.k.a Gossipcopwarumi ni mwanaume ? sa hebu msimharibu kijana wetu mana mnaquotiana naye kikikekike kiasi na yy anajisahau. kiroho safi na sidai chochote meamua kutoa ushauri huu buree..
Nimerudi ila nitakuwa busy kidogo...kikaangoni leo tunamuweka nani manake kazi zenyewe hakuna na umbea nao tushindwe??
Hihihii wanaona wivu mnavyojazana kwenye thread zangu tu, mtafuteni na yeye mcoment kweny thread zake maana wataniua sas
My dia ndo mana naishiaga kusema asante mana kipaji sina.....loh
Nimerud binamuuuuuu
Hahhhhahhhhahha nakuaminiaaa lol hatuwezi shindwa umbea tenaa nasikia Mboni kanyambwa Insta sijui kafanyajeee