TATIANA
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 4,690
- 2,433
Hahhhhahhhhahha nakuaminiaaa lol hatuwezi shindwa umbea tenaa nasikia Mboni kanyambwa Insta sijui kafanyajeee
Umeona mpya engine ya dadake siwema alivyompa za uso Ney?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahhhhahhhhahha nakuaminiaaa lol hatuwezi shindwa umbea tenaa nasikia Mboni kanyambwa Insta sijui kafanyajeee
Tunajua, asante kwa ushauri ila hatuuhitaji
Umeona mpya engine ya dadake siwema alivyompa za uso Ney?
Pole yake....ndo shida ya urafiki wa kupika na kupakua siku mkipishana kiswahili anayamwaga maisha yako yote hadharani.....Hahhhhahhhhahha nakuaminiaaa lol hatuwezi shindwa umbea tenaa nasikia Mboni kanyambwa Insta sijui kafanyajeee
Aiseeee kula bonge la likeeee mwanaa
Pole yake....ndo shida ya urafiki wa kupika na kupakua siku mkipishana kiswahili anayamwaga maisha yako yote hadharani.....
Kazi ipo...silali mpaka utiririke....Umeona mpya engine ya dadake siwema alivyompa za uso Ney?
Kazi ipo...silali mpaka utiririke....
Nakuja sasa hivi
Mwe kumbe.....Aache anyambwe ana kimbelembele cha kupapatikia wasanii wagenii na kwenda kujikalisha kwenye mahoteli wanayolala ili wamdinyee
Hazina mvutoHihihii wanaona wivu mnavyojazana kwenye thread zangu tu, mtafuteni na yeye mcoment kweny thread zake maana wataniua sas
Tunakusubiriii
Mbona haisomeki.....au mchina wangu ndo tatizoView attachment 150193Sitaki maswali
Tunakusubiriii
Usichelewe...Nakuja sasa hivi
Umeona pilau la Dada wa siwema na ney?