Hahaha mie tena? umbea ukizidi sijui unaitwaje tena...mie nishapita kwenye stage zote sijui nalekea wapi
Wengine tunatumia simu za mchina jamani
kuna watu wanajua kuzikuza pic hapa JF mie hata sijui. sijui umuite nani mmbea mwenzetu atusaidie
kingkong
Ooooh..hebu double click uizoom
Asante mpenzi imekubali, mbona mjini kazi?
kuna watu wanajua kuzikuza pic hapa JF mie hata sijui. sijui umuite nani mmbea mwenzetu atusaidie
kingkong
Karibu dear. Si unajua tena raha ya umbea ni kuusambaza kwa wambea..
Mi nilisemaa yule mbabu anamhonga Siwema na Siwema anamhonga Ney wa mitego vipi niliona ana mimbaaaa au keshaitoa ina maana Siwema haishi tena Mwanza yupo kwa Ney au!!!
Hiyo ya mimba jule insta kwa dogiemasta si kasema ni yadadaake alafu kazi mix na zake ili aonekane yeye kumbe sio
Hihiii hadi unajiogopa binamu
Niliona Siwema ana tumbo ni la nanii la Ney au??kazimix niniii sijakupata mrembo
Nimeona ndio hayoo ya kujipendekezaa kwa mastaaa mara Etto hadi akavaa na jezi ya Etto ,Etoo kala vyake akasepaaa hajarudi, hiv ulimuona siku aliyokua anapaform Fallii pupa alikua ana kiherehere nahis alipitwaa maana Falio nae hua hawakawiziii
Hivi wenye nchi hawajamuona tu kupitia kwenye kipindi chake? Au wanapenda bongo movies tuWenye mji wanadai eti aliliwa bure/alitoa ofa...ila anapenda sana kuachia kifua wazi akiendaga kwenye shoo za wasanii wa nje. basi vititi anavibetua vinasimama weeeee utadhania hajaenda age. Mboni mambo mengine unafanya ni ya mateenager tulia na acha kubetua hivyo vititi vyako. kama wanakutaka watakufwata hata ukiwa umevifunika hvo vititi vyako.
Hivi wenye nchi hawajamuona tu kupitia kwenye kipindi chake? Au wanapenda bongo movies tu