Odama huvumi lakini umo

Nasikiaa Wemaa na Aunt ezekiel wamemchenjiaa Martin Kandindaa ngoja niitafute nione

Ha ha ha huyo manager sijaona umaneger wake anakula hela za wema tu, wema anichukue mimi nimmanage, yaani kwa jinsi anavyopendwa angetoa clothing line, au hata lipshine brand name anaweka wema sepetunga mbona zingenunuliwa hajui kulitumia jina lake kibiashara
 
Tatizo la hawa wadada wa mjini wanataka watu wenye pesa zao na wenye majina kama kina chief kiumbe ha ha ha wakina kabwela hawataki sasa akifikisha 40 atakuwa so stress up hana mtoto hana mume,

Huyo Chief kiumbe si nasikia alipeleka posa then akapotea mazima na tangu apeleke posa kama angemuoa kweli na kupata mtoto huyo mtoto angekuwa keshaanza hata darasa la kwanza.. Ila bidada hajatulia nasikia kwao masheikh wanapishana tu kumuombea abadilike na kuolewa ili atoke kwao maana mamayake kamchoka.
 

Hiyo sababu ya kutovua sidiria akido nimesikia eti kisa titi moja bandia aliwekwa mwaka 2009.
 

Ikifikia hatua ya mama yako mzazi kukuchoka basi hatari
 
Najifunza kuchangia kwa kumwaga data na mimi na pia nataka kujifunza kunyamba mana mtu ananikwaza naishiaga kumwambia asante....badala ya kumpa maneno anayostahili....
mhh hilo neno kunyamba wengine kwetu linamaana nyingine lol!! umenirusha roho bora ungeamua kutumia kuchamba.
 
Kumbeeee ndio maana wamepatanaaa hahhhhhahhhhha

Si nasikia Martin kadinda anasagana na peti man pamoj na romy , huyo pet nae anapenda kufanywa vibay tu , nasikia uyo pet anaomba hela kwa mapedeshe ya kulipa kodi ya nyumba, Cjui wanategemea nn kama co kuambiwa kupumuliwa , yaan umuombe pesa mwanaume mwenzie
 

Wambea wenzangu mmamka?
 

Hawasagani bana rekebisha kauli wanapumulianaa,kwahiyo watakua wanafanya threesome eee tena humo humo kwa Wema ndio maana hawaishi wote kua pamojaa manena zaoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…