SIERA
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,789
- 3,413
Daah asokujua kila anachosikia nae anaamini anaenda kuadisia..mimi binafsi namjua mboni nimesoma nae o level she is 34 now amezaliwa 1980 nahayo mambo ya matiti labda limeharibika now enzi namjua hakua na kilema chochote cha maziwa na huwa anavaa ngua hata bila braa .hayo mwengineyo ya kina chifu kiumbe siyajua sbb hatuko karibu kama zamani tukikutana ni stori kidogo kila mtu anachukua ustaarabu wake