Odama huvumi lakini umo

Odama huvumi lakini umo

Afadhali mimi nimeiga wewe una nini empty headed mfinyuuuuuuuuuuuuuuu

Ana nini huyo kavurugiwa wapi anakuja malizia hasira humu hivi ni He/she? Hebu tuendelezee yetu naona wameanza kuingiaa wapambeeee hahhhha
 
hahahaaaaaaaaaa watu wanagombania zile LV kule

Hahahhhha eti mpaka kabilaa wanagombeaa kua Sinta anajifananisha kabila nae (upare)yaan hapo ndio nikaona kichwan kwa kimavi kumejaaa funza
Bora angekua Mhaya tusingesema maana mishauo kawaida yao wapare na mishauo plus majigambo wameitoaaa wapiii
 
Hahahhhha eti mpaka kabilaa wanagombeaa kua Sinta anajifananisha kabila nae (upare)yaan hapo ndio nikaona kichwan kwa kimavi kumejaaa funza
Bora angekua Mhaya tusingesema maana mishauo kawaida yao wapare na mishauo plus majigambo wameitoaaa wapiii
Ikitoka akaja kufulia yule wale wale wanaomsifu hata akinya wataanza kumsema
 
Na kusifia hata visivyostahili.

Basi wakimsifiaaa kichwaa kinajaa na kulipuka kama bomu la Nyukliaaa hao hao ipo siku watamgeuka chezeaa wabongo na utakuta wanamsifiaa huko kwenye blog yake wakitoka wanamponda kwenye blog nyinginee
 
Basi wakimsifiaaa kichwaa kinajaa na kulipuka kama bomu la Nyukliaaa hao hao ipo siku watamgeuka chezeaa wabongo na utakuta wanamsifiaa huko kwenye blog yake wakitoka wanamponda kwenye blog nyinginee

Watanzania sisi wanafiki sana tunajua kucheza na akili za mtu leo unamsifia si anataka sifa kesho unamponda akifulia. Lol
 
Watanzania sisi wanafiki sana tunajua kucheza na akili za mtu leo unamsifia si anataka sifa kesho unamponda akifulia. Lol

Alaaa ndio ukweliii huoo hapendwii mtu bali ulichonacho ndio ushoga huoooo
 
attachment.php
 
Back
Top Bottom