Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Waambie waje mererani kuna fogo lakipare ndio zake linawapakua na kuwalipa vizuri yani hataree
Unasalimiwa na kimambi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waambie waje mererani kuna fogo lakipare ndio zake linawapakua na kuwalipa vizuri yani hataree
Unasalimiwa na kimambi
Wanaume tumebaki wachachee ukitaka maisha mazuri bila kazi lazma upakuliwe, waje huku kwe2 mabasha wako tele tena watarudi na brevis au nyumba., ndio mana huyo petit lady kalegea hata cku ya ugomvi gpl alikua mbali
Ndio nani huyo mbona jina kama la mganga wa kienyeji tena wa kahangara
Hahhhhhshhhhha ni mbebez yupo kwa obama anakula bata mpaka kuku anaona wivuu yaan kwa bata hata Beyonce hamfikiii
Hongera zake mwambie nadi huku tunakula raha kama wao,hpa bongo kawekeza au
Hapo sasa kawekeza kushona kwenye cherehaniii kushonesha nguo za vitenge anaziuzia huku bongo
sidhani Kama nimara yake ya kwanza kwenda.alishapelekwa Huko na baba yake 2000 kusoma lakini hakusoma alikua anamimba ameenda nayo kwaiyo ikabidi arudi tz baada ya kujifunguaMarekani ishamchanganyaaa akilii alikuaga anaiotaa
Pole zake kma hajawekeza hata kibanda c bora abaki hukohuko mana akija huku wenzie wanakimbiza balaaa, mana kulamba uzi ni kazi ngumu halafu mgongo utapinda mapema kama dreva wa daladala.
Mana cherehani hudumaza mda wote umejipinda kma dreva wa bodaboda
Hashoni yeyee ana washonajiii muke ya muzungu tena ashonee
Kama hivyo ameajiri wa2 yuko poa kiuchumi mana nchi za wa2 kumpa m2 kazi c mchezo, 2mezoea fareast unamtuma mchina au mthailand kwa hela kiduchu
Mange hajafika marekani kwa sababu ya ndoa,Bhoke kazaliwa marekani,hivyo basi marekani kwa mange is nothin at all.Mange unaua watu huku kwa wivuMarekani ishamchanganyaaa akilii alikuaga anaiotaa
Yuko poaa lakinii hebu ingiaa kwenye blog yake U Turn utanipa majibuu
Mange hajafika marekani kwa sababu ya ndoa,Bhoke kazaliwa marekani,hivyo basi marekani kwa mange is nothin at all.Mange unaua watu huku kwa wivu
Ngoja nimcheki inaonekana kuna mavituzzz hko
Nimeona huko hakunifai mana naona tu maneno cjui sinta mara nenda gym mikono minene, hko hakunifai mimi