Umeona eeh? Humu usipoondoa stress inabid ufanyiw maomb
Huko hapanifai hapahapa kwa warumi natoa stress zangu.mana mwez ujao ntaenda kuangalia ki2 y ney mwz c pale jirani na kcb bank au
Umeona eeh? Humu usipoondoa stress inabid ufanyiw maomb
Kama hana kitu ya nini kumuandika humu?mumuwacheeee!Wivu nimuonee kuishi Marekani au kuuza nguo?au kwa kuolewa na huyo mzungu mwambie abadilikee aache kumsimanga Sintah kwani ana ninii hasaa huko alipo angekua anaishi kama kina Kim k ingekuajee au tusiende mbalii K lyn huyo hapoo na bwana machache kuna kitu anawazidii huyo mmewe ana ninii zaidi ya Kuwa mzungu
doh haya bana sisi kunyamba tunalitumia vingenvyo huku mtaani labda ndo rejesta yetu ila ukisikika hivyo umesema kunyamba kila mtu akili inahama.Kuchambaa lina maana mbili bora kunyambaaa kumpa mtu minyambo akanyambikaa
Kama hana kitu ya nini kumuandika humu?mumuwacheeee!
doh haya bana sisi kunyamba tunalitumia vingenvyo huku mtaani labda ndo rejesta yetu ila ukisikika hivyo umesema kunyamba kila mtu akili inahama.
Angalia comment apo kuna jamaa kaporomosha matus kwenye hyo picha ya wazungu, halaf katukana kwa kiswahil dah wabongo nomaa
TATIANA come this way umuone muheshimiwa first class
Ukilikutaaa li ney hua linawapa Nakoz umejipangajee! !!?mistari yako inalipaaa
inahamia tunakomaanisha maana ya kunyamba.ambayo ni kula tunda la katiAkili inahama inaenda wapiii??
jumamosi wewe jumapili yeye....
Mtu aliporomosha matusi kwenye page ya T.I ya instagram aliweka picha yake na wanae
Wivu nimuonee kuishi Marekani au kuuza nguo?au kwa kuolewa na huyo mzungu mwambie abadilikee aache kumsimanga Sintah kwani ana ninii hasaa huko alipo angekua anaishi kama kina Kim k ingekuajee au tusiende mbalii K lyn huyo hapoo na bwana machache kuna kitu anawazidii huyo mmewe ana ninii zaidi ya Kuwa mzungu
jumamosi wewe jumapili yeye....
Mode wamefuta zile post za yule mdada mwenye stress nini
Hahahaaa... binaaamuuuu... umetishaaaa