Twaenda changamkia fursa mi na ladykims pia Heaven on Earth atakuepo
Hahahaahaaa... talking of Zanzi kuna siku nilikaonja....
Miss you too dear... how are you?
Mhhhh mpe ofa aliepelekwaa hukoo segereaa
Wapiii hukooo mnataka kuniachaaa
Hatareee ulilegeza macho nini
Kukamata fursa Dodoma...kwi kwi kwiiiii
Huyo mjita mla samaki amezoea lubisi au kangara
Hahhhhahhha kwa wajumbe wa katibaa hahghhahhhha
Nimepitwa tena.....
Huyo mange ana nini asijadiliwe? US ameanza kuishi yeye? HM ameanza kuzivaa yeye na kenzo?? Akimjadili sintah kwa kumshusha ajue na yeye hawezi kuwa salama.... angekuwa japo mzuri basi tusingepumua mjini hapa!! Na nyie vibaraka wake mnaosubiri nguo za msada mjipange hasa mnapokuja kumtetea nanake watu wako full...jimama zima lina act km teenager
Huyo mange ana nini asijadiliwe? US ameanza kuishi yeye? HM ameanza kuzivaa yeye na kenzo?? Akimjadili sintah kwa kumshusha ajue na yeye hawezi kuwa salama.... angekuwa japo mzuri basi tusingepumua mjini hapa!! Na nyie vibaraka wake mnaosubiri nguo za msada mjipange hasa mnapokuja kumtetea nanake watu wako full...jimama zima lina act km teenager
Ndio dia..tukagawane posho zetu za kodi
.wakihara wajue watayazoa wenyewe...tatizo watu wamemchoka na drama zake...kajifungua yuko peke yake km nchawi...anajifanya kuleta nguo kumbe anakuja kuongeza nguvu kwa mganga wake wa chanikaAisee halaf nilikusahauuuuu ngoja nimuitee ICHANA njooo hukuuu shoga team wake mmoja hakaa kaharaaa weeee mods wakamlaaa hahhhha
Hahahhhha eti mpaka kabilaa wanagombeaa kua Sinta anajifananisha kabila nae (upare)yaan hapo ndio nikaona kichwan kwa kimavi kumejaaa funza
Bora angekua Mhaya tusingesema maana mishauo kawaida yao wapare na mishauo plus majigambo wameitoaaa wapiii
Tobaaa mganga tena.wakihara wajue watayazoa wenyewe...tatizo watu wamemchoka na drama zake...kajifungua yuko peke yake km nchawi...anajifanya kuleta nguo kumbe anakuja kuongeza nguvu kwa mganga wake wa chanika