Odama huvumi lakini umo

Jamani jana nilikwama ruvu simuzikaisha chaji nimepitwa na mengi mie kwenye hii thread. Sitaki kuamini na Dinazarde wangu kabigwa ban.
 
Last edited by a moderator:
 
Hivi hawa waheshimiwa first class wanawapataga wapi!!!!!!!!!

na mie nitafute mmoja


Subiri bunge la bajeti lianze,, hili la katiba wachovu wengi... Ukikatiza mjengoni mara 2 tu wakati wanatoka atanasa..hahaa kidding
 
Binamu nimejaa tele....mishemishe kidogo....haya leta mpya za town

Nimeshashusha ubuyu wa unga , sijapat hela ya kununua rangi ila soon ntaleta ubuyu wa rangi tena nyekundu ulioiva.. upate mautamu zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…