Mwenzangu namwonea huruma huyo Sintah maana michambo ni mikubwa nahisi mimba itatoka, na huyo Mange anaachia comments mpaka za mama yake SintahMuke ya muzungu sa hivi sintah anachambajwe sasa mle ndani........
Muke ya muzungu sa hivi sintah anachambajwe sasa mle ndani........
Mwenzangu namwonea huruma huyo Sintah maana michambo ni mikubwa nahisi mimba itatoka, na huyo Mange anaachia comments mpaka za mama yake Sintah
Mwenzangu namwonea huruma huyo Sintah maana michambo ni mikubwa nahisi mimba itatoka, na huyo Mange anaachia comments mpaka za mama yake Sintah
Hujanielewa binamu, maana yangu ni kwamba mange alidanganya kuwa amejifungulia kwenye hospital ambayo mastar kama akina Kim kardashian hujifungulia na jina akalitaj sema nimesahau kumbe sio hyo hospital aliyoisema yeye. Yaani Ali cheat kuandika jina la hospital ambayo siyo aliyojifungulia , hospital aliyojifungulia nasikia ni gvt na ndio anapopigia picha toka mimba had uzao. Yaan mfano wewe ujipige picha ukiwa hospital ya kairuki then udanganye upo aghakan, umenisomaa?
Hivi hawa waheshimiwa first class wanawapataga wapi!!!!!!!!!
na mie nitafute mmoja
Ukibahatika kumpata na mie unifanyie mpango nimpate
hahahaaaa!!! mkuu hili si ni rum tu kama rum nyingine za tarime?
mbona hata mie naweza andika niko los angeles kwa pembeni bana...! atoke beverly kwa nje kidogo!
Dinazarde Heaven on Earth Honey Faith tuwahini Dodoma kabla bunge maalum la katiba halijaisha.bungeni binamu, kuna kipindi walialkiwa bongo movie bungeni uko ndo mambo yote yana ji set automatically....
hahahaaaa!!! mkuu hili si ni rum tu kama rum nyingine za tarime?
mbona hata mie naweza andika niko los angeles kwa pembeni bana...! atoke beverly kwa nje kidogo!
Hujanielewa binamu, maana yangu ni kwamba mange alidanganya kuwa amejifungulia kwenye hospital ambayo mastar kama akina Kim kardashian hujifungulia na jina akalitaj sema nimesahau kumbe sio hyo hospital aliyoisema yeye. Yaani Ali cheat kuandika jina la hospital ambayo siyo aliyojifungulia , hospital aliyojifungulia nasikia ni gvt na ndio anapopigia picha toka mimba had uzao. Yaan mfano wewe ujipige picha ukiwa hospital ya kairuki then udanganye upo aghakan, umenisomaa?
Huko ndio wapii kaenda kufanyajee kupunguza tumbo au??yaan katuandikiaa jina tu labdaaa huyu kwa mashauz simuaminii