Odama huvumi lakini umo

Odama huvumi lakini umo

Binamu huyo dada hunipa presha nishaacha kuingiaa kwenye blog yakee aisee mara ajifunguee kwenye hospital za kina Beyonce mayoweeeeeeee mi hata kwa Dr. Kilonzo nishashindwaaa

Ahahahahahaaaa!! kwa hiyo huwa unaenda kujifungulia wapi?
 
Ndo nimetoka kumwambia Heaven on Earth kuhus hiko kit, huo mchezo upo sana instagram, mtu yupo tandika kwenye Insta location Mbezi beach au masaki bhaaas , watu wanatafuta heshima kwa nguvu

Kwa age yake anatakiwa aache huu upuuzi. Wanatakiwa wafanye under 25yrs
 
Last edited by a moderator:
Kama ni gvt basi hiyo hospitali ipo juu na view, mmmmmhhhhhh

Majuu hospitali zote ni nzuri yani kuliko hata hotel za hapo bongo unazoita 5 star. na ukapuku wangu nilienda government hospital nikadhani niko hotelini. kila mtu ana room yake hakuna msongamano. Chakula, vinywaji as far as uko admitted hapo utapewa (kwa nchi zinazotoa matibabu bure, na hata kwa nchi za kulipia afya ndo utaratibu then utawekewa kwenye bill yako ya tiba, kwa bima mtajuana kibima bima). For me sikuona cha ajabu kwa Mange as ulaya/america kwa wenzetu waliondelea afya na elimu ni mambo ambayo walishafika mbali sana kiasi ambacho chumba alicholazwa mgonjwa ni zaidi ya hoteli kwa jinsi kilivyo standard.
 
Majuu hospitali zote ni nzuri yani kuliko hata hotel za hapo bongo unazoita 5 star. na ukapuku wangu nilienda government hospital nikadhani niko hotelini. kila mtu ana room yake hakuna msongamano. Chakula, vinywaji as far as uko admitted hapo utapewa (kwa nchi zinazotoa matibabu bure, na hata kwa nchi za kulipia afya ndo utaratibu then utawekewa kwenye bill yako ya tiba, kwa bima mtajuana kibima bima). For me sikuona cha ajabu kwa Mange as ulaya/america kwa wenzetu waliondelea afya na elimu ni mambo ambayo walishafika mbali sana kiasi ambacho chumba alicholazwa mgonjwa ni zaidi ya hoteli kwa jinsi kilivyo standard.

Asante kwa kunitoa ushamba maana mmmmmmmmhhhhh ile view ni nzuri sana
 
Majuu hospitali zote ni nzuri yani kuliko hata hotel za hapo bongo unazoita 5 star. na ukapuku wangu nilienda government hospital nikadhani niko hotelini. kila mtu ana room yake hakuna msongamano. Chakula, vinywaji as far as uko admitted hapo utapewa (kwa nchi zinazotoa matibabu bure, na hata kwa nchi za kulipia afya ndo utaratibu then utawekewa kwenye bill yako ya tiba, kwa bima mtajuana kibima bima). For me sikuona cha ajabu kwa Mange as ulaya/america kwa wenzetu waliondelea afya na elimu ni mambo ambayo walishafika mbali sana kiasi ambacho chumba alicholazwa mgonjwa ni zaidi ya hoteli kwa jinsi kilivyo standard.
Mrembo by Nature thank you for this useful post
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaaaaaa

Hahaha yani Mange amejua kubrain wash watu..kale kakitu Kama Kaungo alikomlazia Keanu day 2 after kutoka hospo (apart from Kile kitanda cha duara -crib) nilikaona mahali bei Wala haikuzidi laki 3 ya tz...ila sasa watu walivyomuabudu na kuona Kama sijui ni nini....

Hivi assume mshahara wako ni dollar 10,000 as rates za Majuu si Kama za bongo hasa kwa watu wenye ujuzi na uzoefu wa kutosha wanaofanya kwenye kampuni kubwa utashindwa kununua crib na kale Kaungo ka mtoto?? Vitu vingine tunakuza.

Kama angekuwa wa high life angejifungua last week Leo yuko kiwandani kusimamia nguo? Klyn bwana Ndo alijua kuweka heshima wengine wote waigaji tu
 
Mrembo by Nature thank you for this useful post

Ongea habari ya Klyn na mzee machache ntakuelewa....kitu special kujifungulia ufaransa....sasa hapo hesabu gharama ya hotel, kula, kulala, gharama za matibabu as wao sio raia Wala wafanyakazi wa ufaransa then utaweka heshima kwa klyn. Ila mtoto wa watu amepoaaaaaa km Hayupo vile. Wengine Mungu ametunyima kwa makusudi yake manake huenda tungepewa ardhi hii tungeihamishia Huko sayari ya mars
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom