TATIANA
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 4,690
- 2,433
Ongea habari ya Klyn na mzee machache ntakuelewa....kitu special kujifungulia ufaransa....sasa hapo hesabu gharama ya hotel, kula, kulala, gharama za matibabu as wao sio raia Wala wafanyakazi wa ufaransa then utaweka heshima kwa klyn. Ila mtoto wa watu amepoaaaaaa km Hayupo vile. Wengine Mungu ametunyima kwa makusudi yake manake huenda tungepewa ardhi hii tungeihamishia Huko sayari ya mars
Dear umenena. Anatumia nguvu Sana kujionyesha.
Klyn anachapa bakora tu kabaaaaaaaa.
Mwanamke hata two weeks bado eti nipo factory!
Factory yenyewe imechooooka....