Odama huvumi lakini umo

Odama huvumi lakini umo

Ongea habari ya Klyn na mzee machache ntakuelewa....kitu special kujifungulia ufaransa....sasa hapo hesabu gharama ya hotel, kula, kulala, gharama za matibabu as wao sio raia Wala wafanyakazi wa ufaransa then utaweka heshima kwa klyn. Ila mtoto wa watu amepoaaaaaa km Hayupo vile. Wengine Mungu ametunyima kwa makusudi yake manake huenda tungepewa ardhi hii tungeihamishia Huko sayari ya mars

Dear umenena. Anatumia nguvu Sana kujionyesha.
Klyn anachapa bakora tu kabaaaaaaaa.
Mwanamke hata two weeks bado eti nipo factory!
Factory yenyewe imechooooka....
 
Mamaaa seketulee ndio hadhii yangu na makofi kibaooi na matusiu ndio usisemee yaan mpaka namaliza kujifungua nipo hoi mara miaa

Pole siku shemeji akikutwanga ki band kingine,
Utengeneze kibubu ili iwe unatupia mia mia,tarehe zikikaribia unakavunja unajisogeza kwa kilonzo na mikwara kibao.
 
Hahaha yani Mange amejua kubrain wash watu..kale kakitu Kama Kaungo alikomlazia Keanu day 2 after kutoka hospo (apart from Kile kitanda cha duara -crib) nilikaona mahali bei Wala haikuzidi laki 3 ya tz...ila sasa watu walivyomuabudu na kuona Kama sijui ni nini....

Hivi assume mshahara wako ni dollar 10,000 as rates za Majuu si Kama za bongo hasa kwa watu wenye ujuzi na uzoefu wa kutosha wanaofanya kwenye kampuni kubwa utashindwa kununua crib na kale Kaungo ka mtoto?? Vitu vingine tunakuza.

Kama angekuwa wa high life angejifungua last week Leo yuko kiwandani kusimamia nguo? Klyn bwana Ndo alijua kuweka heshima wengine wote waigaji tu

Shangaa shouger lol..
Yaani amewakamata kweli wajinga wanaomwona amepatia maisha.

Mara mipicha kitandani na mkanga wake... aaagh too much kizee yule
 
Hahaha yani Mange amejua kubrain wash watu..kale kakitu Kama Kaungo alikomlazia Keanu day 2 after kutoka hospo (apart from Kile kitanda cha duara -crib) nilikaona mahali bei Wala haikuzidi laki 3 ya tz...ila sasa watu walivyomuabudu na kuona Kama sijui ni nini....

Hivi assume mshahara wako ni dollar 10,000 as rates za Majuu si Kama za bongo hasa kwa watu wenye ujuzi na uzoefu wa kutosha wanaofanya kwenye kampuni kubwa utashindwa kununua crib na kale Kaungo ka mtoto?? Vitu vingine tunakuza.

Kama angekuwa wa high life angejifungua last week Leo yuko kiwandani kusimamia nguo? Klyn bwana Ndo alijua kuweka heshima wengine wote waigaji tu

K-lyn level nyingine bhna, halaf kimya kimya tu mambo yake
 
Dear umenena. Anatumia nguvu Sana kujionyesha.
Klyn anachapa bakora tu kabaaaaaaaa.
Mwanamke hata two weeks bado eti nipo factory!
Factory yenyewe imechooooka....

Maisha yake ni ya kawaida sana kwa mtu yeyote anayeishi abroad mwenye walau kaajira rasmi ukiachana na wabeba box ambao lazima wajilipue vya haja....

Hivi Mbona mange hafananii na mtu aliyezaliwa kwenye hela Kama anavyodai?? Anaonekana kushoboka na mambo madogo madogo as if ameyaonea ukubwani na kuona wengine wote ni maskin yeye tu Ndo tajiri
 
Maisha yake ni ya kawaida sana kwa mtu yeyote anayeishi abroad mwenye walau kaajira rasmi ukiachana na wabeba box ambao lazima wajilipue vya haja....

Hivi Mbona mange hafananii na mtu aliyezaliwa kwenye hela Kama anavyodai?? Anaonekana kushoboka na mambo madogo madogo as if ameyaonea ukubwani na kuona wengine wote ni maskin yeye tu Ndo tajiri


Ulimbukeni na kukosa confidence sasa anatafuta njia ambayo inampa faraja moyoni ili ajione amepatia life.

Tk mbona ametulia tu.
 
Shangaa shouger lol..
Yaani amewakamata kweli wajinga wanaomwona amepatia maisha.

Mara mipicha kitandani na mkanga wake... aaagh too much kizee yule

Hehehehe shouger tukisema sana tutaambiwa ni wivu...kuna mahali watu wamegombana na kuchambana haswaaa kisa mtu kasema Mbona kawaida....weeee Moto wake hata fire walishindwa kuuzima
 
Hehehehe shouger tukisema sana tutaambiwa ni wivu...kuna mahali watu wamegombana na kuchambana haswaaa kisa mtu kasema Mbona kawaida....weeee Moto wake hata fire walishindwa kuuzima

Lol sijui amewalogea wapi fans wake.

Mi kuna siku nilikuwa nabishana na rafiki yangu eti anasema she is among top ladies hapa town mwenye good life la hatari...

I was like eeerh what?
Yaani nikamwona hata yeye hamnazo
 
teh teh teh nitamwambia aanze kudownload avatar kwanza.

Hahahaaa...sasa dear unataka kuharibu.. mie si nitapelekwa nursery school maana hamna aliye tayari kuacha bata akanyee ndo segerea.
 
Lol sijui amewalogea wapi fans wake.

Mi kuna siku nilikuwa nabishana na rafiki yangu eti anasema she is among top ladies hapa town mwenye good life la hatari...

I was like eeerh what?
Yaani nikamwona hata yeye hamnazo

Top life kivipi Wakati anazunguka na roba mjini hata Duka si angefungua ili awe walau na kituo...ashawahi pita picha hata ya nyumba yake? Nakumbuka Lynda aliwahi kuonesha pango lake...

Umasikini wangu hauwezi nifanya nishabikie upumbavu ambao hauna justification...aweke Mali anazomiliki ili tumuingize kwenye Forbes
 
Hahhhahahhhha aiseee inabidi na hili walipitishe kwenye katiba wallahi haiwezekani iwe kina Faraja Kota tu lolll

yani ni kweli haiwezekani tunapishana tu pale nje na parking wanakuja mpaka eneo letu alafu posho wanatutosa na kwenda kufata vidada vya udom na St. John
 
Top life kivipi Wakati anazunguka na roba mjini hata Duka si angefungua ili awe walau na kituo...ashawahi pita picha hata ya nyumba yake? Nakumbuka Lynda aliwahi kuonesha pango lake...

Umasikini wangu hauwezi nifanya nishabikie upumbavu ambao hauna justification...aweke Mali anazomiliki ili tumuingize kwenye Forbes

Eti alikuwa anasema ooh anasafir business class halafu mara kwa mara anakuja bongo ooh...

Mara ooh sijui ona anakula restaurants Kali.

I was like eeeh...kweli ushamba na ujuha ni mzigo wa misumari
 
Back
Top Bottom