BASHADA JF-Expert Member Joined Jul 13, 2011 Posts 513 Reaction score 148 Mar 6, 2019 #21 Boeing 747 said: mkuu hiyo ni fursa.... changamkia faster kuuza...wqtanzania wakitaka kununua gari wanaangalia limetembea km ngapi...so tafuta mjinga mjinga umbamize isije ikakufia wewe Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Ukitaka kudanganya walau uongo ukaribiane na ukweli. Kumbuka juzi tu hapa tumeambiwa na jiwe watanzania siyo wajinga kivile.... Kwa hiyo tuseme aseme amenunua ikiwa na 0km, ikatembea kutoka Dar mpaka Msolwa tuu ndo imefika hiyo 115
Boeing 747 said: mkuu hiyo ni fursa.... changamkia faster kuuza...wqtanzania wakitaka kununua gari wanaangalia limetembea km ngapi...so tafuta mjinga mjinga umbamize isije ikakufia wewe Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Ukitaka kudanganya walau uongo ukaribiane na ukweli. Kumbuka juzi tu hapa tumeambiwa na jiwe watanzania siyo wajinga kivile.... Kwa hiyo tuseme aseme amenunua ikiwa na 0km, ikatembea kutoka Dar mpaka Msolwa tuu ndo imefika hiyo 115