Oddometer ya gari imeanza kujihesabu upya

mkuu hiyo ni fursa....
changamkia faster kuuza...wqtanzania wakitaka kununua gari wanaangalia limetembea km ngapi...so tafuta mjinga mjinga umbamize isije ikakufia wewe

Sent using Jamii Forums mobile app

Ukitaka kudanganya walau uongo ukaribiane na ukweli.
Kumbuka juzi tu hapa tumeambiwa na jiwe watanzania siyo wajinga kivile....
Kwa hiyo tuseme aseme amenunua ikiwa na 0km, ikatembea kutoka Dar mpaka Msolwa tuu ndo imefika hiyo 115
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…