ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Binafsi sikutegemea kama bwana Odelo angekuwa na hoja nzuri namna hii
Ameshusha Nondo nikasema kweli, ana hekima sana
Nimempima Kwa mambo yafuatayo
1 Kutofautisha Maandamano na matembezi
Kwamba CHADEMA walihimiza matembezi siyo maandano.
Maandano yanapaswa yainyime serikali amani na itoe suluhu juu ya changamoto kama Kenya
2. Kuongelea mchakato wa uchaguzi ndani ya CHADEMA
Kwamba Wanachama wote wachague kuanzia ngazi ya mtaa
3 Kuokoa uchumi wa WanaCHADEMA.
Hapa amezungumzia CHADEMA kutengeneza ajira
4 Kuhusu kuruhusu wanafunzi wa vyuo vikuu kushiriki katika siasa
5 Kukataa kuomba kura kabla ya kampeni
Hii ilikuwa hekima kubwa
Ameshusha Nondo nikasema kweli, ana hekima sana
Nimempima Kwa mambo yafuatayo
1 Kutofautisha Maandamano na matembezi
Kwamba CHADEMA walihimiza matembezi siyo maandano.
Maandano yanapaswa yainyime serikali amani na itoe suluhu juu ya changamoto kama Kenya
2. Kuongelea mchakato wa uchaguzi ndani ya CHADEMA
Kwamba Wanachama wote wachague kuanzia ngazi ya mtaa
3 Kuokoa uchumi wa WanaCHADEMA.
Hapa amezungumzia CHADEMA kutengeneza ajira
4 Kuhusu kuruhusu wanafunzi wa vyuo vikuu kushiriki katika siasa
5 Kukataa kuomba kura kabla ya kampeni
Hii ilikuwa hekima kubwa