Odi jamani namba mnipoke niwe mwana cha

Odi jamani namba mnipoke niwe mwana cha

Kujiunga na frremasoni naomba mnisaidie

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahaaa kumbe Freemason.
Sasa njia ni ile ile.
MAHITAJI
Unajua alovera? Iwe imeota sehemu ya ukame,
Majani ya mapera yale mapera ya kienyeji siyo ya kizungu.
Na tangawizi.

NAMNA YA KUJIUNGA.
Chukua majani ya alovera kata kidogo kigogo. Chemshaaa.
Majani ya mapera pia twanga kwenye kinu chemsha.
Tangawizi itwange chemsha.
Halafu changanya huo mchanganyiko pamoja. Usiwe na maji mengi.
kunywa glass asubuh mchana na jioni.
HAPO HAUTAKUWA FREEMASON TUU BALI UTAKUWA SHETANI MWENYEWE. YAANI BOSI WAO.
karibu kwa maswali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Odi jaman ndugzanguninime ambiwa uku kuna msada wa jiu
nga na maso plz nisaidieni

Sent using Jamii Forums mobile app
Shikamoo mwandiko
IMG-20180903-WA0085.jpg


Jr[emoji769]
 
Sawa mkuu hapa ndo penyewe muda mfupi utakua mwanachama, utakua Maarufu utakua namipesa mingi ,vyuma vitalegea.

Sema nn,usiwe unataka kujaribu

*I shall kindly Knee to leave my Pride*
 
Back
Top Bottom