laban amos omware
Member
- Sep 3, 2018
- 19
- 2
- Thread starter
- #21
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu wangu sasa ukisikia zambi halisi ndio hizi[emoji23][emoji87][emoji23][emoji87][emoji23]Ahaaa kumbe Freemason.
Sasa njia ni ile ile.
MAHITAJI
Unajua alovera? Iwe imeota sehemu ya ukame,
Majani ya mapera yale mapera ya kienyeji siyo ya kizungu.
Na tangawizi.
NAMNA YA KUJIUNGA.
Chukua majani ya alovera kata kidogo kigogo. Chemshaaa.
Majani ya mapera pia twanga kwenye kinu chemsha.
Tangawizi itwange chemsha.
Halafu changanya huo mchanganyiko pamoja. Usiwe na maji mengi.
kunywa glass asubuh mchana na jioni.
HAPO HAUTAKUWA FREEMASON TUU BALI UTAKUWA SHETANI MWENYEWE. YAANI BOSI WAO.
karibu kwa maswali
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha. Nimemsaidia sana.Mungu wangu sasa ukisikia zambi halisi ndio hizi[emoji23][emoji87][emoji23][emoji87][emoji23]
Jr[emoji769]
Mmh kwakweli hapa nimechemka halafu nimegundua unacheza na akili zetu..... Sijui kwanini umeamua kufanya hivyoWale walo enda shule naombeni kuwaulizeni swali nini maana ya dasi dasi urukia dasi katika mdwara wake wale washule asa asa naomba mshana nijibu ukipatia narudi shule
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshana muague huyu kijana nahisi wamemrogaMmh kwakweli hapa nimechemka halafu nimegundua unacheza na akili zetu..... Sijui kwanini umeamua kufanya hivyo
Jr[emoji769]
Tukibaliane, tuition utanilipa shs ngapi kwa mda gani?Odi jaman ndugzanguninime ambiwa uku kuna msada wa jiu
nga na maso plz nisaidieni
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu acha wasiwasi,hujatenda dhambi yoyote hapaIvi katika dunia ii kweli kuna mtu ajawai kutenda dhambi mimi siwa kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]