Odi jamani namba mnipoke niwe mwana cha

Odi jamani namba mnipoke niwe mwana cha

Ahaaa kumbe Freemason.
Sasa njia ni ile ile.
MAHITAJI
Unajua alovera? Iwe imeota sehemu ya ukame,
Majani ya mapera yale mapera ya kienyeji siyo ya kizungu.
Na tangawizi.

NAMNA YA KUJIUNGA.
Chukua majani ya alovera kata kidogo kigogo. Chemshaaa.
Majani ya mapera pia twanga kwenye kinu chemsha.
Tangawizi itwange chemsha.
Halafu changanya huo mchanganyiko pamoja. Usiwe na maji mengi.
kunywa glass asubuh mchana na jioni.
HAPO HAUTAKUWA FREEMASON TUU BALI UTAKUWA SHETANI MWENYEWE. YAANI BOSI WAO.
karibu kwa maswali

Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu wangu sasa ukisikia zambi halisi ndio hizi[emoji23][emoji87][emoji23][emoji87][emoji23]

Jr[emoji769]
 
Jamaa yuko serious na ameona humu ndo mwakueleza shida zake,msimbeze,mwambieni kama hamuwezi kumsaidia au mnaweza.Hata hivyo yeye mwenyewe anakiri kwakuriplai kua hajaenda shule kiasi chakuweza kuandika vizuri.Acheni kumbeza.After all mnaombeza jaribuni kumdadisi umri wake aweke bayana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukeli najua kusoma nakuandika ila shida bado sijui ku chat na simat phon laki so shule mnisaidie to kama kuna uwezekano nakama amuna safitu nitafute pengine wanasema alioko juu mngoje chini lakini mimi sikutaka ku wangoja chini ndomaana nimewafata juu tufundishane tu waungwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale walo enda shule naombeni kuwaulizeni swali nini maana ya dasi dasi urukia dasi katika mdwara wake wale washule asa asa naomba mshana nijibu ukipatia narudi shule

Sent using Jamii Forums mobile app
Mmh kwakweli hapa nimechemka halafu nimegundua unacheza na akili zetu..... Sijui kwanini umeamua kufanya hivyo

Jr[emoji769]
 
Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT..........
 
Back
Top Bottom