Sumasuma
JF-Expert Member
- Jun 23, 2011
- 342
- 110
Ikiwa chini ya wiki tatu kabla ya uchaguzi mkuu wa urais nchini Kenya, Waziri Mkuu aliyepo madarakani Raila Odinga anaongeza juhudi na matumaini yake ya kushinda katika mzunguko wa kwanza. Huku siku za uchaguzi zikikaribia Odinga anaongeza ukosoaji wake dhidi ya mpinzani wake mkuu kwa matumaini ya kuepuka upigaji kura wa mzunguko wa pili.
Odinga na Naibu Waziri Mkuu, Uhuru Kenyatta ni wagombea urais wanaoongoza. Lakini katika kundi la wagombea wanane waliopo utafiti unaonyesha hakuna mgombea yeyote atayepata nusu ya kura katika mzunguko wa kwanza. Jambo hilo litasababisha kuwepo na mzunguko wa pili kati ya wagombea wawili wa juu.
Licha ya maoni ya utafiti wapanga mikakati wa Odinga wana imani kuwa anaweza kushinda katika mzunguko wa kwanza.
Ni operesheni kubwa. Kampeni ya Odinga inajumuisha timu nane zinazotangulia katika mikutano ya hadhara na maelfu ya watu wa kujitolea. Wiki iliyopita walipanga mikutano iliyojaa watu kwenye eneo lote la jimbo la Pwani.
Wanachama wa Bwana Odinga wa Coalition for Reforms and Democracy waliongeza mashambulizi yao dhidi ya bwana Kenyatta wakiwakumbusha wapiga kura kwamba mpinzani huyo bado yupo chini ya shutuma za mahakama ya kimataifa ya uhalifu-ICC.
Bwana Kenyatta na mgombea wake mwenza William Ruto wote wanashtakiwa katika kuhusika na ghasia ambazo zilitokea kote Kenya baada ya uchaguzi wa urais uliokuwa na utata mwaka 2007. Bwana Kenyatta amerudia kukanusha mashtaka ya ICC na alisema kwenye mdahalo wa urais wa jumatatu kuwa kesi hiyo haitaingilia uwezo wake wa kuongoza nchi.
Lakini katika mkutano huko Malindi mgombea mwenza wa Bwana Odinga, Kalonzo Musyoka aliwaonya wapiga kura kwamba kumchagua Bwana Kenyatta kutaharibu sifa ya Kenya kimataifa.
source: Voice of America
===================================================================================================
Kenya PM Aims to Win Presidency in First Round
Orange Democratic Party presidential candidate, Raila Odinga (R), displays his registration certificate, with running mate Vice President Kalonzo Musyoka (L), in Nairobi, Kenya, January 30, 2013.
Andrew Green
February 12, 2013
UKUNDA, KENYA - With less than three weeks before the Kenyan presidential election, current Prime Minister Raila Odinga is vying for an outright first-round win. As election day gets closer, Odinga's campaign is increasing its criticism of his main opponent in hopes of avoiding a run-off vote.
Odinga and Deputy Prime Minister Uhuru Kenyatta are Kenya's presidential frontrunners. With eight candidates in the field, however, surveys indicate none of the contenders will win more than half the vote in the first round. That would set up a run-off election between the top two finishers.
Despite the polls, Odinga's strategists are convinced a first-round victory is possible.
It is a massive operation. The Odinga campaign includes eight different advance teams and thousands of volunteers. Last week they organized packed rallies across the Coast province.
There, members of Odinga's Coalition for Reforms and Democracy increased their offensive against Kenyatta, continuously reminding voters that he is under indictment by the International Criminal Court.
Kenyatta and his running mate, William Ruto, are both charged in connection with the violence that swept across Kenya after the disputed presidential election in 2007. Kenyatta repeatedly has denied the ICC charges, and said during Monday's presidential debate the trial would not interfere with his ability to govern the country.
At a rally in Malindi, though, Odinga running mate Kalonzo Musyoka warned voters that electing Kenyatta would damage Kenya's international reputation.
"We do not want as a people to do things that are going to bring disgrace and dishonor to this nation," said Musyoka.
In a country with 42 different ethnic communities, tribalism in voting also is a key concern. Wafula Buke, the campaign's field manager, said Odinga is looking to project an image of inclusiveness.
"For once, you can have 40 communities identify him as a leader that can help this nation move forward," said Buke. "Of course, in the remaining two, which is our rival's strongholds, we have elements of support, but there they dominate."
Buke said the campaign also will continue to focus on land redistribution, which played well in the Coast province. Odinga's manifesto promises to address situations where communities were forcibly displaced from land.
Walter Odhiambo, who is helping run the campaign for a local member of parliament, said Odinga's land stance was one of the main reasons his candidate joined the prime minister's coalition.
"It's the key reason. We need the land issue to be settled. We need the poverty to be settled," said Odhiambo. "We think if we choose CORD to govern the country, we will realize all these things."
Following Monday's debate, Odinga is set to return to the road. Buke said that while the campaign's key messages are established, the schedule is flexible depending on what additional issues arise.
http://www.voanews.com/content/kenya_pm_aims_to_win_presidency_in_first_round/1601983.html
Odinga na Naibu Waziri Mkuu, Uhuru Kenyatta ni wagombea urais wanaoongoza. Lakini katika kundi la wagombea wanane waliopo utafiti unaonyesha hakuna mgombea yeyote atayepata nusu ya kura katika mzunguko wa kwanza. Jambo hilo litasababisha kuwepo na mzunguko wa pili kati ya wagombea wawili wa juu.
Licha ya maoni ya utafiti wapanga mikakati wa Odinga wana imani kuwa anaweza kushinda katika mzunguko wa kwanza.
Ni operesheni kubwa. Kampeni ya Odinga inajumuisha timu nane zinazotangulia katika mikutano ya hadhara na maelfu ya watu wa kujitolea. Wiki iliyopita walipanga mikutano iliyojaa watu kwenye eneo lote la jimbo la Pwani.
Wanachama wa Bwana Odinga wa Coalition for Reforms and Democracy waliongeza mashambulizi yao dhidi ya bwana Kenyatta wakiwakumbusha wapiga kura kwamba mpinzani huyo bado yupo chini ya shutuma za mahakama ya kimataifa ya uhalifu-ICC.
Bwana Kenyatta na mgombea wake mwenza William Ruto wote wanashtakiwa katika kuhusika na ghasia ambazo zilitokea kote Kenya baada ya uchaguzi wa urais uliokuwa na utata mwaka 2007. Bwana Kenyatta amerudia kukanusha mashtaka ya ICC na alisema kwenye mdahalo wa urais wa jumatatu kuwa kesi hiyo haitaingilia uwezo wake wa kuongoza nchi.
Lakini katika mkutano huko Malindi mgombea mwenza wa Bwana Odinga, Kalonzo Musyoka aliwaonya wapiga kura kwamba kumchagua Bwana Kenyatta kutaharibu sifa ya Kenya kimataifa.
source: Voice of America
===================================================================================================
Kenya PM Aims to Win Presidency in First Round
Orange Democratic Party presidential candidate, Raila Odinga (R), displays his registration certificate, with running mate Vice President Kalonzo Musyoka (L), in Nairobi, Kenya, January 30, 2013.
Andrew Green
February 12, 2013
UKUNDA, KENYA - With less than three weeks before the Kenyan presidential election, current Prime Minister Raila Odinga is vying for an outright first-round win. As election day gets closer, Odinga's campaign is increasing its criticism of his main opponent in hopes of avoiding a run-off vote.
Odinga and Deputy Prime Minister Uhuru Kenyatta are Kenya's presidential frontrunners. With eight candidates in the field, however, surveys indicate none of the contenders will win more than half the vote in the first round. That would set up a run-off election between the top two finishers.
Despite the polls, Odinga's strategists are convinced a first-round victory is possible.
It is a massive operation. The Odinga campaign includes eight different advance teams and thousands of volunteers. Last week they organized packed rallies across the Coast province.
There, members of Odinga's Coalition for Reforms and Democracy increased their offensive against Kenyatta, continuously reminding voters that he is under indictment by the International Criminal Court.
Kenyatta and his running mate, William Ruto, are both charged in connection with the violence that swept across Kenya after the disputed presidential election in 2007. Kenyatta repeatedly has denied the ICC charges, and said during Monday's presidential debate the trial would not interfere with his ability to govern the country.
At a rally in Malindi, though, Odinga running mate Kalonzo Musyoka warned voters that electing Kenyatta would damage Kenya's international reputation.
"We do not want as a people to do things that are going to bring disgrace and dishonor to this nation," said Musyoka.
In a country with 42 different ethnic communities, tribalism in voting also is a key concern. Wafula Buke, the campaign's field manager, said Odinga is looking to project an image of inclusiveness.
"For once, you can have 40 communities identify him as a leader that can help this nation move forward," said Buke. "Of course, in the remaining two, which is our rival's strongholds, we have elements of support, but there they dominate."
Buke said the campaign also will continue to focus on land redistribution, which played well in the Coast province. Odinga's manifesto promises to address situations where communities were forcibly displaced from land.
Walter Odhiambo, who is helping run the campaign for a local member of parliament, said Odinga's land stance was one of the main reasons his candidate joined the prime minister's coalition.
"It's the key reason. We need the land issue to be settled. We need the poverty to be settled," said Odhiambo. "We think if we choose CORD to govern the country, we will realize all these things."
Following Monday's debate, Odinga is set to return to the road. Buke said that while the campaign's key messages are established, the schedule is flexible depending on what additional issues arise.
http://www.voanews.com/content/kenya_pm_aims_to_win_presidency_in_first_round/1601983.html