johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kiukweli Rais akisha apishwa biashara ya uchaguzi inakuwa imefikia mwisho NO more politics but wananchi waachwe wakafanye shughuli za kuwaletea maendeleo. Ndivyo alivyofanya Lowassa na maalim Seif akaiga mfano, sasa ni zamu ya Odinga kujifunza na kupokea kijiti sisi sote ni wana wa Afrika mashariki. Nawasilisha!