Miti inolewe? Unapenda kupigwa na miti iliyonolewa sana?Bora miti inolewe lah sivyo inakua na sura mbaya..
TB Joshua alikua na majibuHii pia ni fact kuonesha Mungu hayupo.
Kama kazi ya Mungu haina makosa kwanini kukata govi ndio option ya kumfanya mwanaume awe bora zaidi?
For sure tunafaidika na hicho ushawai jiuliza wanafaidika Nini?Bure
Watu wabakie kamili.Wasipunguze hata nywele moja kichwani.You heeeeeeaaard?Amesemaje? Sijasukia vizuri
Yupo Sawa na pia hayupo SawaWatu wabakie kamili.Wasipunguze hata nywele moja kichwani.You heeeeeeaaard?
ππBure
Ameshazeeka ππodinga atahiriwe jamaniiiii
π€£π€£π€£π€£π€£KiruuuuuuuuuuKiufupi Odinga ni team govinda
AiseeKiufupi Odinga ni team govinda
Actor wa kihindiKiukweli Kuna madhara makubwa kuliko tunavyo fikiri mzungu hanaga kitu kinaitwa bule
Tohara Ina punguza ukubwa wa uume/,tohara inapunguza uwezo wa mtu kudum kwenye tendo la ndoa,tohara inapunguza Radha ya tendo kwa mwanaume,tohara ndiyo chanzo cha kibamia
Hayo mengine ni ushamba tuu
Govi ni uchafu bwana.Kutahiriwa au kutokutahiriwa ni Mila na Imani tuu. Hazina impact yoyote kwenye Maisha. Wapo waliotahiriwa ni Maskini wa kutupwa wapo ambao hawajatahiriwa ni Matajiri wa kutupwa na wanaishia Maisha marefu na bora
Amekuwa Chongoliani?Amini unavyo amini Ila ukweli ndiyo huo mkuu
Na kuhusu hiyo ya kwako itume hapa kwa picha tuione tafadhari[emoji28][emoji28]