ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,073
- 858,551
Kaaazi kweli kweliNdo baba etu mdogo huyuu.....hahahahhhhh......rais anataka uchaguzi tena achaguliwe kiwa rais......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaaazi kweli kweliNdo baba etu mdogo huyuu.....hahahahhhhh......rais anataka uchaguzi tena achaguliwe kiwa rais......
MhhhhNdo baba etu mdogo huyuu.....hahahahhhhh......rais anataka uchaguzi tena achaguliwe kiwa rais......
HIvi kwa akili zako mgombea wa CCM amewahi kumshinda Maalim kinyang'anyiro cha urais Zanzibar? Shithole Lumumba.Itakuwa Odinga ana uhusiano wa 'damu' na Maalim Seif...
ukicheki DNA zao (kisiasa) zinafanana kabisa.!
anayoyafanya Odinga na Maalim naye ilikuwa vivyo hivyo...'Leo anazua hili,kesho anarukia jingine..
na wanachama 'nyumbu wa
NASA' wanaamini,nakusadiki kila analolisema Odinga,sawa na wenzao wa zenj...wanavyomhusudu Maalim
HIvi kwa akili zako mgombea wa CCM amewahi kumshinda Maalim kinyang'anyiro cha urais Zanzibar? Shithole Lumumba.
Dah hata wewe ni mtu wa kueneza propanganda? Hadi sasa hivi sijaamini, na unajua vizuri hiyo picha ya Uhuru ni ya jamhuri day na si ya kuapishwa kwake! Dhuks, kennedy0000, MK254 fanyeni haki tumalize hii propaganda kwa mara ya mwisho. Msaidieni huyu na picha ya kuapishwa kwa rais Uhuru Kenyatta. Acha ntaitafuta pia nikimaliza shughuli zangu.Propaganda my foot
Hiyo si mliposti wenyewe
Dadeki!
Anataka urais wa Jamhuri ya Kenya na aishi ikulu atumie motorcade ya serikali ndege n.k.Uchaguzi wa nini tena wakati yeye ameshakuwa 'Rais wa watu' wa Kenya?
Raila is looking for death, and surely he will get it soon.Kiongozi wa upinzani nchini Kenya kupitia NASA, Raila Amollo Odinga, ametaka kufanyika kwa uchaguzi mkuu mpya tena mwezi Agosti mwaka huu 2018.
Akizungumza na BBC Raila Odinga amesema hamtambui Uhuru Kenyatta kama Rais wa nchi hiyo kwani hana kibali cha watu, ingawa hana lengo lolote la kupambana na serikali ya Kenyatta.
"Hatutamtoa Uhuru Kenyatta Ikulu anaweza kuendelea kukaa kwa amani, lakini hatuutambui Urais wake kwa sababu uko kinyume, tunataka uchaguzi mwingine na kwa mujibu wa ratiba yetu utakuwa Agosti mwaka huu”, amesema Raila Odinga.
Hivi karibuni kiongozi huyo wa upinzani nchini Kenya alijiapisha na kuwa Rais wa watu, akisema yeye ndio chaguo la watu kuwaongoza na sio Uhuru Kenyatta.
Chanzo: EATV
View attachment 692497
Ni Mr Padlock AlcoholHivi ni "MCHAWI" gani huyo na yuko wapi aliyemvuruga huyo baba akili yake?
Hivi mbona huipati kwamba ni nyie wenyewe ndiyo mlioileta humu?Dah hata wewe ni mtu wa kueneza propanganda? Hadi sasa hivi sijaamini na unajua vizuri hiyo picha ya Uhuru ni ya jamhuri day na si ya kuapishwa kwake!
No way!Ni Mr Padlock Alcohol
Mtume weeee!Raila is looking for death, and surely he will get it soon.
Dah hata wewe ni mtu wa kueneza propanganda? Hadi sasa hivi sijaamini, na unajua vizuri hiyo picha ya Uhuru ni ya jamhuri day na si ya kuapishwa kwake! Dhuks, kennedy0000, MK254 fanyeni haki tumalize hii propaganda kwa mara ya mwisho. Msaidieni huyu na picha ya kuapishwa kwa rais Uhuru Kenyatta. Acha ntaitafuta pia nikimaliza shughuli zangu.
Maajabu ya mzee rajabu,raisi anataka uchaguzi tena[emoji23][emoji3][emoji23][emoji3]Majanga haya jamani!
Serikali haijapanic sasa ina exercise power na kitkachofuata Odinga ana pigwa pin nyumbaniHehehehe!! Mzee Odinga..baaabaa mbona unatuyumbisha hivi, juzi umekula kiapo na kuwa rais wa nchi na kusema umetufikisha Kanani, sasa mbona hujiamini unatetereka na kujitwika majukumu ya tume ya uchaguzi ya kutangaza lini tufanye uchaguzi. Wanaokufuata kwa kweli wana shughuli sio haba.
Tatizo serikali nayo inamfuata huyu mzee, imepanic na kuanza kamata kamata zisizoeleweka, yaani hii nchi inazidi kuwa tamu, full vituko.
Yupo hapa kirando!Hivi ni "MCHAWI" gani huyo na yuko wapi aliyemvuruga huyo baba akili yake?