Odinga ataka uchaguzi mwingine tena Agosti mwaka huu

Itakuwa Odinga ana uhusiano wa 'damu' na Maalim Seif...

ukicheki DNA zao (kisiasa) zinafanana kabisa.!

anayoyafanya Odinga na Maalim naye ilikuwa vivyo hivyo...'Leo anazua hili,kesho anarukia jingine..

na wanachama 'nyumbu wa
NASA' wanaamini,nakusadiki kila analolisema Odinga,sawa na wenzao wa zenj...wanavyomhusudu Maalim
 
HIvi kwa akili zako mgombea wa CCM amewahi kumshinda Maalim kinyang'anyiro cha urais Zanzibar? Shithole Lumumba.
 
HIvi kwa akili zako mgombea wa CCM amewahi kumshinda Maalim kinyang'anyiro cha urais Zanzibar? Shithole Lumumba.



taratibu basii..(wewe ni Maalim?)

Jecha ndiye refa...mie mtazamaji na mpira ni dk90.
Kubali matokeo,jipangeni upya
 
Propaganda my foot
Hiyo si mliposti wenyewe
Dadeki!
Dah hata wewe ni mtu wa kueneza propanganda? Hadi sasa hivi sijaamini, na unajua vizuri hiyo picha ya Uhuru ni ya jamhuri day na si ya kuapishwa kwake! Dhuks, kennedy0000, MK254 fanyeni haki tumalize hii propaganda kwa mara ya mwisho. Msaidieni huyu na picha ya kuapishwa kwa rais Uhuru Kenyatta. Acha ntaitafuta pia nikimaliza shughuli zangu.
 
Raila is looking for death, and surely he will get it soon.
 
Dah hata wewe ni mtu wa kueneza propanganda? Hadi sasa hivi sijaamini na unajua vizuri hiyo picha ya Uhuru ni ya jamhuri day na si ya kuapishwa kwake!
Hivi mbona huipati kwamba ni nyie wenyewe ndiyo mlioileta humu?
Hii ni kazi ya mikono yenu, ungesema tu hiyo picha si kweli ni ya Jamhuri Day!
Trust me it’s that simple my dear!
Kuliko kuja na mineno ya ajabu ajabu!
Never speculate!
 



 
Serikali haijapanic sasa ina exercise power na kitkachofuata Odinga ana pigwa pin nyumbani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…