Odinga going to win the election in Kenya

hii kitu haiwezi toke ase.. . african leader ni kama wameweka kukaa madarakani milele.. . sema democracy inawazuiaa.. hawezi shinda mbele ya mwenye regime yaka sasa iv
 
Raila ni 'upinzani material' wakiwa na swahiba yake Changirai na Besigye pia. Ndo maana wana sura za kutisha na nundu mithili ya Oldonyo Lenkai kwenye nyuso zao! Hehe!😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…