Mathias Raymond Nyakapala
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,181
- 1,493
Kikubwa mkuu nilikuwa nahitaji kuelimishwa kwa Mujibu wa sheria na kama anavunja sheria basi Kosa lake ni lipi?Hili ni jukwaa la serious business! Kwani raisi anaapishwa kwa mujibu na taratibu za katiba na sheria au mujibu wake mwenyewe?
Labda uende mipakan mwa Tz na Kenya ili pakchimbika tu ukimbilie kwa Uhuru kenyataNi haki ya kila binadam, hata wewe ukijisikia unajiapisha