Mathias Raymond Nyakapala
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,181
- 1,493
Mihanyenyi JF
Naomba kujuzwa wakuu swala hili la mtu kujiapisha Nchi yenye Rais ni sawa kama sio sawa kwanini hajachukuliwa hatua?
Upande wa serikali kuyuzuia hilo swala nao hawajavunja sheria za Nchi hiyo.
Naomba kujuzwa wakuu swala hili la mtu kujiapisha Nchi yenye Rais ni sawa kama sio sawa kwanini hajachukuliwa hatua?
Upande wa serikali kuyuzuia hilo swala nao hawajavunja sheria za Nchi hiyo.