The Elephant
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 4,342
- 4,614
Watanzania hawahusiki na uchaguzi wa Kenya bali NASA walikosa ushawishi kwa wakenya waishio TanzaniaKura za RAO kutoka tanzania zilizopigwa na Wakenya waiishio tanzania ni mbili tu, Hiyo inaleta tafsiri kuwa NASA walikosa ushawishi nchini Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app