Kunta Kinte
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 3,690
- 1,288
utakufa utamuacha.mwenzio ana uwezo wa kukaa ICU miaka hata mitano kama fidel castro,pesa ipo.wewe kabwela kama mimi presha ikipanda tu kidogo hata taxi ya kukukimbiza muhimbili shida.
Teh! Teh! Teh! ulichosema swadakta mkuu, isipokuwa kwa siku hii ya leo (9/4/2013 siku ya kuapishwa UhuRuto) naamini mimi nina furaha zaidi yake pamoja na minoti lukuki aliyonayo!
Tukumbuke kwamba pale kasarani watakuwa wamejaa wafuasi wa uhuruto,kama uwajuavyo wakikiyu na hooliganism,wangemzomea kama walivyomzomea moi na kumrushia matope siku kibaki anahapishwa.odinga ana wafuasi wengi sana Nairobi,wasingekubali kiongozi wao kuzomewa....gues kungetokea nini...kwa wale vijana wa zamani mtakubaliana na mimi yangetokea kama yale ya ufunguzi wa New Rusia hospital...kati ya odinga snr na kenyatta snr.historia ingejirudia.
Well said Ngambo Ngali
A high level of political immaturity. Is this going to change anything? If you cant be tolerant enough then never join politics.
And they ended up paying a courtesy call at the State House," Baniani Mbaya Kiatu chake dawa", so they say !!!!!!