DOKEZO Odonyo, Mratibu wa NIDA Mkoa wa Kigoma awa Kero

DOKEZO Odonyo, Mratibu wa NIDA Mkoa wa Kigoma awa Kero

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Wiston Mogha

Senior Member
Joined
Feb 13, 2014
Posts
168
Reaction score
141
Huyu Mratibu wa NIDA Mkoa kwa jina maarufu Odoyo
IMG_7640.jpg

amekuwa akisumbua wakazi wa Kigoma kwa kuwafukuza ofisini kama wanyama, kuwanyanyasa na hata kuwatukana. Nilipopata taarifa hizo nikasema wacha nami leo niende kuchukua kitambulisho changu kisha nione namna ya kuzungumza nae kama raia mwema juu ya malalamiko haya toka kwa wanachi.

Kabla hata sijapatiwa huduma wala kujieleza nami yakanikuta yaleyale yanayolalamikiwa na wengi.

Niombe Wizara ya mambo ya ndani, Mkuu wa mkoa, Mkuu wa wilaya na Mkurugenzi wa manispaa yetu ya Kigoma ujiji muone ushahidi wa aina ya watu tunaowaamini kuwapa ofisi za umma namna wanavyofanya unyanyasaji na udhalilishaji usio na tija kwa wananchi.

Wiston Mogha
0756263596
Raia Mwema
 
Wewe ni yupi hapo? Uliyekabwa shingo na huyo dogo?

Kuna vitu kama mwanaume hupaswi kuvumilia. Haswa kama hilo la mtu kukukaba koo. Kabla hajafikisha mkono kooni, angepaswa awe anasikilizia maumivu kwenye hako kamkono.

Dogo mwenyewe anaacha meno wazi, si ungepita nayo?
 
Bwana Godwin Odonyo ninamfahamu vizuri saana ni msabato safi saana HAPENDI RUSHWA WALA DHARAU WEWE UTAKUWA ULITAKA KUTOA RUSHWA AU MLIMUONESHA DHARAU

HUYU MZEE HANAGA SHIDA
 
Kumbe ulienda pale ukiwa na yako tayari akilini
Odonyo ni mtu safi saana nimewai kufanya nae kazi
 
Kiongozi anawakaba wateja,huyo aende tarime
Mleta mada alienda kumchokoza mwenye tayari kwa lengo lake binafsi

Maafisa wa nida kigoma lzm wawe WAKALI kigoma wahamiaji ni wengi saana kwa mjini warundi na wakongo wamejazana kibirizi na norad
 
Nilijua tu lazima mleta mada atakuwa alienda kumchokoza msabato wa watu Mr Odonyo mwenyeji wa Rorya

Mleta mada tuma video unatuma picha ili uonekane unakabwa kumbe wewe ndio ulienda kufanya vurugu

Nashindwa kupandisha video ila kiufupi mleta mada ndio mgovi na kaja hapa kama kujihami maana anajua atashtakiwa so anatafuta HURUMA
20230515_232053.jpg
 
Mkuu hicho kijamaa ndio kinakusukuma?? Kweli kuna watu wanabahati ya kuishi
 
Nilijua tu lazima mleta mada atakuwa alienda kumchokoza msabato wa watu Mr Odonyo mwenyeji wa Rorya

Mleta mada tuma video unatuma picha ili uonekane unakabwa kumbe wewe ndio ulienda kufanya vurugu

Nashindwa kupandisha video ila kiufupi mleta mada ndio mgovi na kaja hapa kama kujihami maana anajua atashtakiwa so anatafuta HURUMAView attachment 2623283
Mbon pich Yako haifunguki[emoji17]
 
Kuna watu wakipata uongozi kidg tu wanageuka Miungu watu. Wana USHAMBA KATIKA UONGOZI

Wakitumbuliwa wanaanza kulialia
 
Bila mtu shupavu kama Odonyo hapo, warundi Wakongo na wanyaru watajinyakulia utanzania. Hapo kawabana sawasawa na mlivyo wanaishi mnakwenda kumtest ofisini
 
Bila mtu shupavu kama Odonyo hapo, warundi Wakongo na wanyaru watajinyakulia utanzania. Hapo kawabana sawasawa na mlivyo wanaishi mnakwenda kumtest ofisini
Kwa tunaomjua Odonyo kigoma kapaweza haswa
Mleta mada amekuja hapa kujihami nimeona video anatafuta huruma tu

Mr Godwin Odonyo piga kazi baba usicheke na warundi na wacongo
 
Maeneo ya mipakan kupata NIDA hua n kaz sana
 
Sasa namna ya kukabiliana na hilo ndo hiyo ya bwana Odonyo..!!?? Yeye mwenyewe jina lake limekaa Kikenyakenya tu..!!
Anaitwa Godwin Odonyo ni mjaruo wa Rorya
Msabato kiimani
Hapendi RUSHWA WALA DHARAU

Binafsi aliweza kumsaidia mdogo wangu kupata nida ndani ya masaa 3 dogo alikuwa anataka leseni ya nursing akapata taarifa siku ambayo ni deadline na bila nida akaambiwa hakuna leseni

So akaniomba 75K ili akatoe RUSHWA apate NIDA
Alivyofika kwa Mr Odonyo na 75K yake ikakataliwa akapewa na elimu juu ya RUSHWA akapewa NIDA na bado akapewa na nauli

So tunamjua Odonyo tunaelewa kuwa mleta mada ni mshari na yupo hapa kutafuta huruma baada ya kwenda kufanya fujo kwenye ofisi ya umma
 
Anaitwa Godwin Odonyo ni mjaruo wa Rorya
Msabato kiimani
Hapendi RUSHWA WALA DHARAU

Binafsi aliweza kumsaidia mdogo wangu kupata nida ndani ya masaa 3 dogo alikuwa anataka leseni ya nursing akapata taarifa siku ambayo ni deadline na bila nida akaambiwa hakuna leseni

So akaniomba 75K ili akatoe RUSHWA apate NIDA
Alivyofika kwa Mr Odonyo na 75K yake ikakataliwa akapewa na elimu juu ya RUSHWA akapewa NIDA na bado akapewa na nauli

So tunamjua Odonyo tunaelewa kuwa mleta mada ni mshari na yupo hapa kutafuta huruma baada ya kwenda kufanya fujo kwenye ofisi ya umma
Nakubaliana na wewe, kwangu mimi ni huko kuwafukuza watu au kushikana maungoni ndo tatizo langu lilipo. Haya ya kutokupokea rushwa nimpe hongera kwa hilo..!!
 
Anaitwa Godwin Odonyo ni mjaruo wa Rorya
Msabato kiimani
Hapendi RUSHWA WALA DHARAU

Binafsi aliweza kumsaidia mdogo wangu kupata nida ndani ya masaa 3 dogo alikuwa anataka leseni ya nursing akapata taarifa siku ambayo ni deadline na bila nida akaambiwa hakuna leseni

So akaniomba 75K ili akatoe RUSHWA apate NIDA
Alivyofika kwa Mr Odonyo na 75K yake ikakataliwa akapewa na elimu juu ya RUSHWA akapewa NIDA na bado akapewa na nauli

So tunamjua Odonyo tunaelewa kuwa mleta mada ni mshari na yupo hapa kutafuta huruma baada ya kwenda kufanya fujo kwenye ofisi ya umma
Odonyo nakushauri ungeongea na mtoa mada inbox. Na wewe pia ungejaribu kujitafakari kama kuna sehemu umekosea jirekebishe. Otherwise, kazi njema kama kweli wewe ni mtumishi muadirifu bro. Pamoja.
 
Back
Top Bottom