Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Anayeamua kuolewa au kuchezewa ni Wewe mwanamke mwenyewe.Wale mnaowachezea waolewe na nani?
Zipi characteristics za ucha Mungu?Anayeamua kuolewa au kuchezewa ni Wewe mwanamke mwenyewe.
Ndio maana wengine wanaamua kua wateja wa wanaume..ni maamuzi tu.
Mwanamke Lazima Awe mcha MunguMwanamke awe mcha Mungu na Mwanaume awe ....
Hata hili la uchamungu nalo liwe 50/50 ?Mwanamke awe mcha Mungu na Mwanaume awe ....
Mtu anayesali ( sio kusali siku ya ibada tu ,imeisha ) mtu anayesali kila siku ,nahata nyumban kwake ana ibada , kitu kinachomfanya awe karibu na Mungu, kua karibu huepusha uovu.Zipi characteristics za ucha Mungu?
Namimi natega sikio hapa nipate izo karakataristikZipi characteristics za ucha Mungu?
Ucha Mungu upo evident katika macho ya watu?Mtu anayesali ( sio kusali siku ya ibada tu ,imeisha ) mtu anayesali kila siku ,nahata nyumban kwake ana ibada , kitu kinachomfanya awe karibu na Mungu, kua karibu huepusha uovu.
Kutokwenda na mienendo Ichafuayo mwili wako na kukufanya ujitenge mbali na Mungu...kwa mfano, mavazi ya nusu uchi , Ulevi n.k
haya ni mawili machache.
Yule alikua anayesali.Na yule mchamungu mke wa mtu uliyemla kule uzi wa kimasihara vipi?
Mimi nilishawahi kumtokea demu mlokole swala tano alikua kiongozi wa kwaya kanisani kwao. Siku nimemtoa out akaagiza konyagi ndogo.Mtu anayesali ( sio kusali siku ya ibada tu ,imeisha ) mtu anayesali kila siku ,nahata nyumban kwake ana ibada , kitu kinachomfanya awe karibu na Mungu, kua karibu huepusha uovu.
Kutokwenda na mienendo Ichafuayo mwili wako na kukufanya ujitenge mbali na Mungu...kwa mfano, mavazi ya nusu uchi , Ulevi n.k
haya ni mawili machache.
πππNa yule mchamungu mke wa mtu uliyemla kule uzi wa kimasihara vipi?
Kwanza mwonekano wake, haukupi nafasi ya kupiga mistariIli ukimtingoza akwambie "shindwa pepo wakala wa shetani wewe " [emoji1787][emoji1787]
Huyo alikua anasali..hata mimi nimewah kuwala wa ivo .Mimi nilishawahi kumtokea demu mlokole swala tano alikua kiongozi wa kwaya kanisani kwao. Siku nimemtoa out akaagiza konyagi ndogo.
Mkuu, Muigizaji maisha yake ya uhalisia ni sawa na maisha ya Nzi.Lakini uwe makini na huko Kuna mwingine huamua kuungana na wacha Mungu ili apate ndoa tu
Hakika macho yanapoona matendo/mwonekano wako ..hutoa picha yako halisi.Ucha Mungu upo evident katika macho ya watu?