Oeni Wanawake wacha Mungu. Msifanye kosa kabisa

Tatizo sio kuoa mwanamke mcha Mungu... Je wewe nimchamungu?
Kwamaana sio rahisi kumjua mtu nimchaMungu kwakumuangalia tuu ..
Watu wanaigizaa ujasikia wanakwaya wanagegedana? Mungu ni wa haki atakupa wakufanana nawewe.... Mke mchaMungu mtu upewa na Bwana... Sasa uyo utakayo mpata wakati wewe simchaMungu utakua umempata kwa utashi wako... Uchamungu ni kitu cha ndani saaana.. Anza kumcha Mungu ndio uanze kutafuta mchamungu
 
Siwezi oa mlokole. I'll take an openly dirty woman over a hypocrite any day.
 
😍💣💥🙏
 
Utawajua kwa kipimio gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…