Oeni Wanawake wacha Mungu. Msifanye kosa kabisa

We jichanganye.... Jidanganye utabakiwa mke mchana kweupe na mwinjilisti
 
We jichanganye.... Jidanganye utabakiwa mke mchana kweupe na mwinjilisti
Wee unahisi Dunia bila SHERIA zake za kiserikali ingekuaje ?? Maov yangekua mengi au kidogo??

Je uwepo wa SHERIA hizo kumefanya Maovu yasiwepo kabisa ??.


SHERIA za Mungu zipo kama KIOO .



Huo ndio ukweli !!.
 
Wee unahisi Dunia bila SHERIA zake za kiserikali ingekuaje ?? Maov yangekua mengi au kidogo??

Je uwepo wa SHERIA hizo kumefanya Maovu yasiwepo kabisa ??.


SHERIA za Mungu zipo kama KIOO .



Huo ndio ukweli !!.
Jichanganye
 
Upendeleo hudanganya, na uzuri ni ubatili; Bali mwanamke atakayemcha BWANA ndiye atakayesifiwa.

Mithali 31:30
 
Naam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…