We jichanganye.... Jidanganye utabakiwa mke mchana kweupe na mwinjilistiHakikisha sana unaoa Mwanamke mcha Mungu. Mwanamke ambaye ataibarikisha familia yako. Atakuombea na kusali pamoja
Atawafanya watoto wako wakue wenye Hekima na Maadili..yaan mtoto anakua anajua wizi ni dhambi, Uvivu ni dhambi, kuongopa ni dhambi, uzinzi ni dhambi, kuvaa nusu uchi dhambiiii. Kwani wakuu mifano simnayo?
OYA, OENI WANAWAKE WACHA MUNGU
Wee unahisi Dunia bila SHERIA zake za kiserikali ingekuaje ?? Maov yangekua mengi au kidogo??We jichanganye.... Jidanganye utabakiwa mke mchana kweupe na mwinjilisti
Mlokole na swala tano wapi na wapi?Mimi nilishawahi kumtokea demu mlokole swala tano alikua kiongozi wa kwaya kanisani kwao. Siku nimemtoa out akaagiza konyagi ndogo.
JichanganyeWee unahisi Dunia bila SHERIA zake za kiserikali ingekuaje ?? Maov yangekua mengi au kidogo??
Je uwepo wa SHERIA hizo kumefanya Maovu yasiwepo kabisa ??.
SHERIA za Mungu zipo kama KIOO .
Huo ndio ukweli !!.
NaamHakikisha sana unaoa Mwanamke mcha Mungu. Mwanamke ambaye ataibarikisha familia yako. Atakuombea na kusali pamoja
Atawafanya watoto wako wakue wenye Hekima na Maadili..yaan mtoto anakua anajua wizi ni dhambi, Uvivu ni dhambi, kuongopa ni dhambi, uzinzi ni dhambi, kuvaa nusu uchi dhambiiii. Kwani wakuu mifano simnayo?
OYA, OENI WANAWAKE WACHA MUNGU
π€£π π πJichanganye