Kindimbajuu
JF-Expert Member
- Jul 8, 2009
- 710
- 247
Mimi nasikitika sana hawa jamaa kuondoka,Na hawa Wakenya ni balaa, wataweka hadi walinzi Wakenya,
mkuu acha utani bana, wanajiskia mbaya hiyo jina ni makusudi au!!!! NakumattKwahiyo Makumati ndio wameingia mliman city? Je expiring date umeangalia?
Mimi nasikitika sana hawa jamaa kuondoka,Na hawa Wakenya ni balaa, wataweka hadi walinzi Wakenya,
Juzi nikiwa mlimani city nikashangaa nyomi ya watu wakikimbilia Shoprite supermarket kuuliza kulikon nikaambiwa kuna ofa (nusu bei, 50% OFF) nami nikachoma ndani kuwahi ofa ile kuingia tu mbinde kufika ndani ikawa purukushani kwa kweli yaani ni vurugu tupu mi nikawahi mikuku almost friji Zima, konyagi, mi-whisky, mafuta ya kupikia (50 lts) sukari 250 kgs, sabuni za kuogea box 10, OMO kubwa 20. sasa jana nimedamka alajiri saa 11 kuwahi tena ofa nakutana na tangazo ofa imesitishwa. Daah but si mbaya nimepata pa kuanzia. Shikamoo SHOPRITE!!
Nakumat sio makumati
hata mimi niliweka t mbili naona moja imeanguka, kwa hiyo unataka tuache vitu vidogo vipite sio? sawa tumekuelewa.vitu vidogo hivyo hamwachi vipite, kikubwa si kueleweka!!...ona sasa na wewe kumbe haujui, ni Nakumatt, siyo Nakumat!
Hongera mjombaJuzi nikiwa mlimani city nikashangaa nyomi ya watu wakikimbilia Shoprite supermarket kuuliza kulikon nikaambiwa kuna ofa (nusu bei, 50% OFF) nami nikachoma ndani kuwahi ofa ile kuingia tu mbinde kufika ndani ikawa purukushani kwa kweli yaani ni vurugu tupu mi nikawahi mikuku almost friji Zima, konyagi, mi-whisky, mafuta ya kupikia (50 lts) sukari 250 kgs, sabuni za kuogea box 10, OMO kubwa 20. sasa jana nimedamka alajiri saa 11 kuwahi tena ofa nakutana na tangazo ofa imesitishwa. Daah but si mbaya nimepata pa kuanzia. Shikamoo SHOPRITE!!