Duga mwanng'ombe ndio kuna huo msikiti wa viooupo barabara ya ngapi...ama mtaa gani huo msikiti wa vioo...mitaa mingi siifahamu kwa majina...mara nyingi huwa nazunguka na baiskeli mbaya zaidi sina mwenyeji hapa Tanga
Ndiooh....mwisho wa ule uwanja wa shule ya msingi...?
Huko huko kwa wauniukivuka daraja lile...?
Karibu Sana mabovu mkuuKwanjeka napajua sana kuna jamaa yangu anaishi huko enzi tunasoma apo usagara ko tulikua tunapiga pindi hapo tanga school
Kisi Cha mboga tuu.kwani mshahara wa polisi shingapi jaman!!!
maana story zimekuwa nyingi sana.
ivi sasas pamestaarabika kaka....nini huwa narudi mida mibovu...na njia yangu napitia hapo uwanjani huo uwanja unaokatisha hapo kwenye kidaraja kinacho kuja mabovu...huyo naenda napita hadi mikanjuni...shule ya msingi huyo navuka Rami napita hadi pale shule ya msingi magaoni...nakunja kulia...naingia mtaani huko hadi natoke Ardhi pale....kwenye ule msikiti...harafu sidhani kama una vioo ule...ni msikiti mdogo tu...upo barabarani....ng'ambo yake ndio kuna godown la cocakola...tumepakana na godown la simba iviHuko huko kwa wauni
Sahiv ndio kumeharibika nenda chumbageni watoto wa mabovu wamejaa na kesi zao za uhalifu na ukabajiivi sasas pamestaarabika kaka....nini huwa narudi mida mibovu...na njia yangu napitia hapo uwanjani huo uwanja unaokatisha hapo kwenye kidaraja kinacho kuja mabovu...huyo naenda napita hadi mikanjuni...shule ya msingi huyo navuka Rami napita hadi pale shule ya msingi magaoni...nakunja kulia...naingia mtaani huko hadi natoke Ardhi pale....kwenye ule msikiti...harafu sidhani kama una vioo ule...ni msikiti mdogo tu...upo barabarani....ng'ambo yake ndio kuna godown la cocakola...tumepakana na godown la simba ivi
watu wameshindwa kunisaidia....nibadilisha maamuzi na matumizi ya kiwanja nimeamua tu kiwanja changu nifanye utaratibu wa kukijenga japo sina uwezo ila kidogo kidogo naaamini kijumba nitakitoa pale
ivi inawezekana kweli wakawa awana majina ambayo watayatumia kama rejea kuhakikisha....idadi ya watu waliokuwa wamechaguliwa kwa kambi husika...?Pamoja na yote kuna jambo nataka kukushauri nami niliambiwa...
Kama umri wako bado unaruhusu kuomba hizi nafasi kwa ajira zijazo labda baada ya miaka 4 kwa mfano...
Fanya hivi ili upate chet cha jkt..[emoji1313][emoji1313]
Wale form six wakienda kuripoti makambini mujibu wa sheria,wewe ibuka nao kajifanye na wewe ni six Sababu wakifika hawakaguliwi lolote kama wamemaliza six au vipi( hili nakubaliana nalo sababu nakumbuka 2017 hata sisi kambini kwetu hatukukagugliwa)
Isipokua watafanyisha usahili upyaaa,,,na hata vyeti vya jkt havionyeshi umesoma shule gan wala umemaliza six mwaka gani ni majina yako tuu matatu baas..
—huo ndio ushauri wangu kwako ndugu,japo inahitaji usiogope jitoe ibuka nao then cheti unapata kilaini miezi yako 3 na kitakusaidia.
ivi inawezekana kweli wakawa awana majina ambayo watayatumia kama rejea kuhakikisha....idadi ya watu waliokuwa wamechaguliwa kwa kambi husika...?
nitajaribu mwaka huu...bahati yangu umenipa mbinu moja matata ila nikikamatwa imekula kwanguKumbuka sio wote wanaopangiwa kule wataripoti wote....jaribu kufuatilia hili maana kuna mdau Ali mpeleka mdogo wake wa form 4 na amepiga kozi pamoja na mujibu na sahv ameomba hizi za polisi na amepata nafasi
nitajaribu mwaka huu...bahati yangu umenipa mbinu moja matata ila nikikamatwa imekula kwangu
nitajaribu mwaka huu...bahati yangu umenipa mbinu moja matata ila nikikamatwa imekula kwangu
nimengalia majina ya nyongeza naona kambi nyingi wametoa majina kwa alphabetical...kuna kambi wameeanza na herufi za majina zinazoanzia L...dah nikijichanganya hapo itakula kwangu mimiSasa wewe usijali wakikukamata waambie ukweli wako sasa msoto wote ulioopitia kupata nafasi ya jkt ndio umeamua kufanya hivyo ili angalu upate cheti tu cha jkt.....naamini watakusikiliza na wataona kweli una uhitaji na pengine bahati inawezakua upande wako ukapata bahati zaidi ya hiko cheti cha jkt....Sababu wataona umzalendo wa ukweli..
nimengalia majina ya nyongeza naona kambi nyingi wametoa majina kwa alphabetical...kuna kambi wameeanza na herufi za majina zinazoanzia L...dah nikijichanganya hapo itakula kwangu mimi
kikubwa miaka rafiki yangu mpaka ivi sasa...nina miaka 26...mwakani nitakuwa na miaka 27...hapo sinimejitoa out kweli mwenyewe kweupe...maana naona nafasi za miaka hii wameandika umri miaka 24 hivi au 25...Kwani watakuua mkuu...?????wakizingua sana saaaaana utapigwa zoezi kidg then watakurudisha tu ..... lakini ukiweza kujitetea na kuwashawishi believe me kozi utapiga na cheti utapata
kikubwa miaka rafiki yangu mpaka ivi sasa...nina miaka 26...mwakani nitakuwa na miaka 27...hapo sinimejitoa out kweli mwenyewe kweupe...maana naona nafasi za miaka hii wameandika umri miaka 24 hivi au 25...