Ofa ya kiwanja kwa atakayenisaidia kujiunga na Polisi

Kikubwa jiamini kama vilee umemaliza six ikibidi hata shule ukiulizwa danganya tuu,,,Sababu usaili mkifika mtafanya upyaa yan ili wawe na idadi yenu
Unamuingiza choo cha kike mwenzio. Makambini kote wanakuwa na majina, idadi na shule walizotoka. Kwani mwanafunzi aliyemaliza form six anajuaje kuwa kapangiwa Mafinga JKT na sio Ruvu au Mlale? Hayo majina si soft copy tu, unadhani kambini hayapo? Watamdaka vizuri tu.
 
Wewe unakiwanja polisi hadi anunue kiwanja ajenge ni ligi sio bure kuna kitu labda umekiona huko kwenye majeshi.
 
Utapigwa, usirud kulalamika humu
 
Dah pole mwaya but kama unania kweli pigania unachoamini hakuna aijuaye kesho muamini mungu tu
 

Ninaongea kitu ambacho nina uhakika nacho na wapo waliofanya hivo na vyeti wamepata
 
Hivi ile project yako ya kilimo cha nyanya ikawaje tena ? ? Ulinihamasisha kwenye ile thread.
bado...naendelea ila kwa sasa nimesimama kwa muda....mwenye lile eneo aliamua kulitumia kwa kulijenga...ila bado maarifa yapo kichwani
 

Nafikiri kuna watu ulikuwa unawatafuta yaani huu uzi ni Mission umetumwa uwatafute watu wako
 
Naona rushwa saa hizi inatangazwa hadharani kabisa bila hofu,,,,hii inchi ina uhuru sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…