Bakariforever
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 510
- 511
😂😂😂 likiona ulivyojibu lirafiki lako kwenye comment hii linaweza kukupiga virunguNimeuliza kwa lirafiki langu ambalo ni polisi likanijibu hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 likiona ulivyojibu lirafiki lako kwenye comment hii linaweza kukupiga virunguNimeuliza kwa lirafiki langu ambalo ni polisi likanijibu hivyo
Mungu akutangulie katika utafutaji wako.mimi ni mtafutaji popote kambia...sasa kama hizo za uarabuni hazijapatikana siruhusiwi kutafuta alternative...?
kwa mara nyingine nakuja kwenu ndugu zangu, ndugu yenu nimehangaika sana kutafuta nafasi kwenye majeshi yetu bila mafanikio, kiukweli nina nia ya dhati kabisa ya kulitumikia taifa letu, nimehangaika kutafuta nafasi jkt miaka 8 mfululizo bila mafanikio, nimehangaika kutafuta nafasi za polisi zaidi ya miaka 12 sijawahi kufanikiwa.
najua humu ndani kuna watu wa aina tofautu tofauti, lengo langu ni kujiunga na jeshi la polisi hivyo kama kuna mtu humu ndani anao uwezo wa kunisaidia nikasajiliwa ndani ya jeshi la polisi...nitampa zawadi ya kiwanja, kiwanja hicho ni mari yangu kabisa, ni kikubwa 70*35....ni matumaini yanu maombi yanu yatamfikia mlengwa.
View attachment 1898297
Afu anautaka upolisi kwa kutoa rushwa... Hawa ndo ukiwa na laki 6 wanakuita gaidiKwani lazima uwe polisi? Fanya mambo mengine
Haliwezi kujua kama ni mimi😂😂😂 likiona ulivyojibu lirafiki lako kwenye comment hii linaweza kukupiga virungu
we me au ke samahan lkn mkuunipo kwanjeka kaka
mimi me...na wewe je...we me au ke samahan lkn mkuu
nikisha kupima napata nini kiongozi...mimi nimtafutaji nimehangaika bila maanikio...watanzania tusiishi maisha ya kukariri kuwa kila mtu humu ni shushushu wengine tunashida na tunahitaji wakutusaidia...sasa nimeona mkono mtupu haulambwi...ama unataka nikuthibitishie kwa kufanyaje labda pengine...?Mwenyewe nimejaribu kuwaza, nikajikuta napata majibu kama yako mkuu.
Milioni 14 kwa mwezi kwa koplo na hapa ni baada ya makato yote ya kisheriakwani mshahara wa polisi shingapi jaman!!!
maana story zimekuwa nyingi sana.
Noted.nikisha kupima napata nini kiongozi...mimi nimtafutaji nimehangaika bila maanikio...watanzania tusiishi maisha ya kukariri kuwa kila mtu humu ni shushushu wengine tunashida na tunahitaji wakutusaidia...sasa nimeona mkono mtupu haulambwi...ama unataka nikuthibitishie kwa kufanyaje labda pengine...?
humu kuna watu wanaishi kwa kukariri...bwana mimi ninashida...naomba watu wanisaidie mtu...mmoja anasema eti nawapima...mimi simpimi mtu...lengo langu ni kufanikiwa tu...Noted.
Inawezekana ikawa kweli unahitaji msaada ila uwasilishwaji wa taarifa/ombi ukatengeneza maswali kwa mtu mwenye kuumiza akili.humu kuna watu wanaishi kwa kukariri...bwana mimi ninashida...naomba watu wanisaidie mtu...mmoja anasema eti nawapima...mimi simpimi mtu...lengo langu ni kufanikiwa tu...
tusiishi kwa kuzoea...watu mmeshazoea mtu aje alie lie....siku hizi ukilia unaonekana taperi...ukitoa zawadi kama mimi unaonekana shushushu...sasa ndugu yangu naomba uchukue nafasi yangu...ungekuwa ni wewe unashida kama zangu ungeomba kwa kutumia lugha gani...? nisaidie ndugu yangu nimetaitika...!Inawezekana ikawa kweli unahitaji msaada ila uwasilishwaji wa taarifa/ombi ukatengeneza maswali kwa mtu mwenye kuumiza akili.
Muombe sana Mungu katika kufanikisha hitaji la moyo wako mkuu. Nikutakie kila la kheri.tusiishi kwa kuzoea...watu mmeshazoea mtu aje alie lie....siku hizi ukilia unaonekana taperi...ukitoa zawadi kama mimi unaonekana shushushu...sasa ndugu yangu naomba uchukue nafasi yangu...ungekuwa ni wewe unashida kama zangu ungeomba kwa kutumia lugha gani...? nisaidie ndugu yangu nimetaitika...!
asante rafiki yangu...!Muombe sana Mungu katika kufanikisha hitaji la moyo wako mkuu. Nikutakie kila la kheri.
Acha ufisadi na rushwa. Halafu utaanza kulalamika kuwa watu wanakula rushwa wakati wewe unajizagaza kirahisi hivi. pia ukipata upolisi utakula rushwa au kubambikizia watu kesi ili kuresha rushwa yako. Natamani atokee mjanja akichukue na kukutapeli ili uache kuwashwa washwa kumbaff mkubwa wewekwa mara nyingine nakuja kwenu ndugu zangu, ndugu yenu nimehangaika sana kutafuta nafasi kwenye majeshi yetu bila mafanikio, kiukweli nina nia ya dhati kabisa ya kulitumikia taifa letu, nimehangaika kutafuta nafasi jkt miaka 8 mfululizo bila mafanikio, nimehangaika kutafuta nafasi za polisi zaidi ya miaka 12 sijawahi kufanikiwa.
najua humu ndani kuna watu wa aina tofautu tofauti, lengo langu ni kujiunga na jeshi la polisi hivyo kama kuna mtu humu ndani anao uwezo wa kunisaidia nikasajiliwa ndani ya jeshi la polisi...nitampa zawadi ya kiwanja, kiwanja hicho ni mari yangu kabisa, ni kikubwa 70*35....ni matumaini yanu maombi yanu yatamfikia mlengwa.
View attachment 1898297