Ofa ya kiwanja kwa atakayenisaidia kujiunga na Polisi

Ofa ya kiwanja kwa atakayenisaidia kujiunga na Polisi

kwa mara nyingine nakuja kwenu ndugu zangu, ndugu yenu nimehangaika sana kutafuta nafasi kwenye majeshi yetu bila mafanikio, kiukweli nina nia ya dhati kabisa ya kulitumikia taifa letu, nimehangaika kutafuta nafasi jkt miaka 8 mfululizo bila mafanikio, nimehangaika kutafuta nafasi za polisi zaidi ya miaka 12 sijawahi kufanikiwa.

najua humu ndani kuna watu wa aina tofautu tofauti, lengo langu ni kujiunga na jeshi la polisi hivyo kama kuna mtu humu ndani anao uwezo wa kunisaidia nikasajiliwa ndani ya jeshi la polisi...nitampa zawadi ya kiwanja, kiwanja hicho ni mari yangu kabisa, ni kikubwa 70*35....ni matumaini yanu maombi yanu yatamfikia mlengwa.

View attachment 1898297

Kwani yule anayepitia makaratasi kujiridhisha na ile jinai ya Gwajiboy anasema je?
 
Unatafuta kazi ya kuzeeka ukiwa masikini otherwise uwe unabambikia watu kesi au unakula dili kubwa.
Fanya mengine jombaa mbinguni hatuendi na klauni za polisi.
 
Mwenyewe nimejaribu kuwaza, nikajikuta napata majibu kama yako mkuu.
nikisha kupima napata nini kiongozi...mimi nimtafutaji nimehangaika bila maanikio...watanzania tusiishi maisha ya kukariri kuwa kila mtu humu ni shushushu wengine tunashida na tunahitaji wakutusaidia...sasa nimeona mkono mtupu haulambwi...ama unataka nikuthibitishie kwa kufanyaje labda pengine...?
 
nikisha kupima napata nini kiongozi...mimi nimtafutaji nimehangaika bila maanikio...watanzania tusiishi maisha ya kukariri kuwa kila mtu humu ni shushushu wengine tunashida na tunahitaji wakutusaidia...sasa nimeona mkono mtupu haulambwi...ama unataka nikuthibitishie kwa kufanyaje labda pengine...?
Noted.
 
humu kuna watu wanaishi kwa kukariri...bwana mimi ninashida...naomba watu wanisaidie mtu...mmoja anasema eti nawapima...mimi simpimi mtu...lengo langu ni kufanikiwa tu...
Inawezekana ikawa kweli unahitaji msaada ila uwasilishwaji wa taarifa/ombi ukatengeneza maswali kwa mtu mwenye kuumiza akili.
 
Inawezekana ikawa kweli unahitaji msaada ila uwasilishwaji wa taarifa/ombi ukatengeneza maswali kwa mtu mwenye kuumiza akili.
tusiishi kwa kuzoea...watu mmeshazoea mtu aje alie lie....siku hizi ukilia unaonekana taperi...ukitoa zawadi kama mimi unaonekana shushushu...sasa ndugu yangu naomba uchukue nafasi yangu...ungekuwa ni wewe unashida kama zangu ungeomba kwa kutumia lugha gani...? nisaidie ndugu yangu nimetaitika...!
 
tusiishi kwa kuzoea...watu mmeshazoea mtu aje alie lie....siku hizi ukilia unaonekana taperi...ukitoa zawadi kama mimi unaonekana shushushu...sasa ndugu yangu naomba uchukue nafasi yangu...ungekuwa ni wewe unashida kama zangu ungeomba kwa kutumia lugha gani...? nisaidie ndugu yangu nimetaitika...!
Muombe sana Mungu katika kufanikisha hitaji la moyo wako mkuu. Nikutakie kila la kheri.
 
kwa mara nyingine nakuja kwenu ndugu zangu, ndugu yenu nimehangaika sana kutafuta nafasi kwenye majeshi yetu bila mafanikio, kiukweli nina nia ya dhati kabisa ya kulitumikia taifa letu, nimehangaika kutafuta nafasi jkt miaka 8 mfululizo bila mafanikio, nimehangaika kutafuta nafasi za polisi zaidi ya miaka 12 sijawahi kufanikiwa.

najua humu ndani kuna watu wa aina tofautu tofauti, lengo langu ni kujiunga na jeshi la polisi hivyo kama kuna mtu humu ndani anao uwezo wa kunisaidia nikasajiliwa ndani ya jeshi la polisi...nitampa zawadi ya kiwanja, kiwanja hicho ni mari yangu kabisa, ni kikubwa 70*35....ni matumaini yanu maombi yanu yatamfikia mlengwa.

View attachment 1898297
Acha ufisadi na rushwa. Halafu utaanza kulalamika kuwa watu wanakula rushwa wakati wewe unajizagaza kirahisi hivi. pia ukipata upolisi utakula rushwa au kubambikizia watu kesi ili kuresha rushwa yako. Natamani atokee mjanja akichukue na kukutapeli ili uache kuwashwa washwa kumbaff mkubwa wewe
 
Back
Top Bottom