Nataarifiwa hapa kuwa Mazungumzo yaliyotamatika jioni hii kati ya Wakala wa mchezaji na Bwana Hersi yamefikia tamani.
Yanga wame-table mshahara wa Mil 5 kwa mwezi kwa mchezaji na pamoja na signing fee ya Mil 45.
Kisema ukweli sioni kama ni.ofa nzuri kwa mchezaji wa kaliba yake, tena mchezaji ambaye ni Lejendari katika timu anayo toka, Nina himiza negotiation team ya bw Jonas Mkude wasikubaliane na hii ofa.
Hii ni ofa ya udhalilishaji.
Muajiri wewe umpe zaidi ya hizoNataarifiwa hapa kuwa Mazungumzo yaliyotamatika jioni hii kati ya Wakala wa mchezaji na Bwana Hersi yamefikia tamani.
Yanga wame-table mshahara wa Mil 5 kwa mwezi kwa mchezaji na pamoja na signing fee ya Mil 45.
Kisema ukweli sioni kama ni.ofa nzuri kwa mchezaji wa kaliba yake, tena mchezaji ambaye ni Lejendari katika timu anayo toka, Nina himiza negotiation team ya bw Jonas Mkude wasikubaliane na hii ofa.
Hii ni ofa ya udhalilishaji.
Mdogo kulinganisha na ipi mkuu?Dah ila milioni 5 ni ndogo mno!
Akikujibu nitagSema wewe ni timu gani hapa bongo itakayo mpa hela zaidi ya hiyo kwa sasa?
Wewe ni mke wa Mkude?Nataarifiwa hapa kuwa Mazungumzo yaliyotamatika jioni hii kati ya Wakala wa mchezaji na Bwana Hersi yamefikia tamani.
Yanga wame-table mshahara wa Mil 5 kwa mwezi kwa mchezaji na pamoja na signing fee ya Mil 45.
Kisema ukweli sioni kama ni.ofa nzuri kwa mchezaji wa kaliba yake, tena mchezaji ambaye ni Lejendari katika timu anayo toka, Nina himiza negotiation team ya bw Jonas Mkude wasikubaliane na hii ofa.
Hii ni ofa ya udhalilishaji.
Milion tano? Kubwa sana hiyoNataarifiwa hapa kuwa Mazungumzo yaliyotamatika jioni hii kati ya Wakala wa mchezaji na Bwana Hersi yamefikia tamani.
Yanga wame-table mshahara wa Mil 5 kwa mwezi kwa mchezaji na pamoja na signing fee ya Mil 45.
Kisema ukweli sioni kama ni.ofa nzuri kwa mchezaji wa kaliba yake, tena mchezaji ambaye ni Lejendari katika timu anayo toka, Nina himiza negotiation team ya bw Jonas Mkude wasikubaliane na hii ofa.
Hii ni ofa ya udhalilishaji.
Watumishi wa Tamisemi wanawachora tu mnaosema mil 5 ndogoNataarifiwa hapa kuwa Mazungumzo yaliyotamatika jioni hii kati ya Wakala wa mchezaji na Bwana Hersi yamefikia tamani.
Yanga wame-table mshahara wa Mil 5 kwa mwezi kwa mchezaji na pamoja na signing fee ya Mil 45.
Kisema ukweli sioni kama ni.ofa nzuri kwa mchezaji wa kaliba yake, tena mchezaji ambaye ni Lejendari katika timu anayo toka, Nina himiza negotiation team ya bw Jonas Mkude wasikubaliane na hii ofa.
Hii ni ofa ya udhalilishaji.
Ana miaka mingapi kwani?Kazii na umri mkuu,umri wa mkude ushasongaa yupo Kwenye hatua za mwisho mwishoo
Na.usikute ni Yanga waliokuwa wanamjaza ujinga kwa ahadi ya kumchukua,Yanga Mungu anawaona mjueYaani kama Yanga hawaoni alichofanya Simba vilee..
Kwanini simba wamemuachaYaani kama Yanga hawaoni alichofanya Simba vilee..
Yanga wametoa ofa hiyo kwakuwa wanajua kuwa wanabet, hachelewi kuamkia vyuoni kwenye college bash siku ya gameNataarifiwa hapa kuwa Mazungumzo yaliyotamatika jioni hii kati ya Wakala wa mchezaji na Bwana Hersi yamefikia tamani.
Yanga wame-table mshahara wa Mil 5 kwa mwezi kwa mchezaji na pamoja na signing fee ya Mil 45.
Kisema ukweli sioni kama ni.ofa nzuri kwa mchezaji wa kaliba yake, tena mchezaji ambaye ni Lejendari katika timu anayo toka, Nina himiza negotiation team ya bw Jonas Mkude wasikubaliane na hii ofa.
Hii ni ofa ya udhalilishaji.