OFFER, Jezi ya Simba Kwa TZS 10,000/- tu

OFFER, Jezi ya Simba Kwa TZS 10,000/- tu

Shark

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2010
Posts
29,775
Reaction score
29,746
Screenshot_20220527-130103~4.png
 
Mbona nasikia ni za watoto tu jamani,
 
Kwakua msimu Mpya unakuja na jezi Mpya ndo wanataka kutoa old stock kwa nguvu.
 
Msimu ume isha naona wana anzaa kugawa matangazo yao nani anunue saivi.
 
Mbona wanasema zimeisha unakuta za watoto tu ukienda dukani kwao
 
Simba ana haribu biashara ya JISIEM [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom