Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbaya kama weweMbayaaa
Jiangalie usije ukakalia kidole, we jitekenye tu!!Jezi utadhani ni sare za Mama ntilie! Hizo jezi hata mniuzie kwa ile bei yetu ya zamani ya buku 3, sinunui.
Usipanic mjomba , bora hata mimi siyo mbaya sana kama hizo jerseys 😂mbaya kama wewe
Acheni matusi, masimba nyie vipi😜Jiangalie usije ukakalia kidole, we jitekenye tu!!
Bila alama ya kiulizo kwenye sentensi yako, means ni maelezo tu tena umenisifia "we mzuri" thank you😀 kama unauliza weka kiulizo nikujibu.we mzuri
Hizo ni zako?Zako nzuri?
😂😂 tubet mkuuOna huyu nae!.....sijui katoka kulala!? Kwa taarifa yenu kesho tunawafunga nne😉
Umeshawahi kukalia mara ngapi? Mbwa koko wewe.Jiangalie usije ukakalia kidole, we jitekenye tu!!
😂😂😂.. sawa bia tano Simba ikifungwa nakutumia.😂😂 tubet mkuu
mbona unachekacheka tu, umeshakula utopolo?Usipanic mjomba , bora hata mimi siyo mbaya sana kama hizo jerseys 😂
Kwenda ukoo.Mbayaaa
Umelazimishwa? Umeombwa?Jezi utadhani ni sare za Mama ntilie! Hizo jezi hata mniuzie kwa ile bei yetu ya zamani ya buku 3, sinunui.
Unanunua ili uitumie kudekiaJezi utadhani ni sare za Mama ntilie! Hizo jezi hata mniuzie kwa ile bei yetu ya zamani ya buku 3, sinunui.
Una uhakika nisijeenda kuaibika nipo Dom