Office za Kikuu

JOSEPHAT_07

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2011
Posts
303
Reaction score
181
Naomba msaada kwa anaejua office za kikuu zilipo kwa hapa Dar es salaam Tz
 
Kabla hatujamuelekeza tumwambieni ajiandae kuwa surprised na midoli atakayokutana nayo au..?
 
Kabla hatujamuelekeza tumwambieni ajiandae kuwa surprised na midoli atakayokutana nayo au..?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] waliacha labda kama alifanya shopping vibaya mfano simu imeandikwa i13promax inauzwa 250,000tshs yeye akakimbilia akijua ni iphone 13promax hapo lazma akutane na kitu kizito.
Mchina sio mwizi ni mjanja wa kutafuta hela ila sisi wabongo ndio hatusomi descriptions ndio maana tunapigwa sana
 
Naelewa mkuu mtu anaweza nunua hata cover akidhani ni simu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…