GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Hata yale ya kubweka kama mbwaHawa zoazoa watazoa Makombe yote msimu huu
Halafu Marumo wakitolewa, anakimbilia kwa Usm Alger!! 😃
Kumbe kibegi mnakifuatilia sana kuliko siku yenu ileHalafu Marumo wakitolewa, anakimbilia kwa Usm Alger!! 😃
Hicho ndicho kipindi pendwa cha mateso kwa wapinzani wetu. Kitakapoanza tu, utawaona wanavyoanza kupoteana.
Furaha yote ya uzinduzi wa jezi za kwenye kibegi, itakwisha! Na malalamiko yataanza sasa kutamalaki.
Hawa wahuni matutopolo wametupania sana dadeki ngao ya jamii tujipange wakitupiga shida sana. Simba SC nguvu moya 💞💞💯💯[emoji599] OFFICIAL & CONFIRMED:
Klabu ya Yanga imethibitisha kukamilisha usajili wa kiungo fundi ZOUZOUA PACOME (26) kutoka Asec kwa Mkataba wa miaka miwili.
Pacome [emoji1132] ni kiungo mshambuliaji kutoka Asec mimossas Ndiye MVP wa ligi ya Ivory coast ni mchezaji mkubwa mwenye thamani kubwa.
View attachment 2693637
Jiandaeni kisaikolojia utopwoloo...Hawa wahuni matutopolo wametupania sana dadeki ngao ya jamii tujipange wakitupiga shida sana. Simba SC nguvu moya 💞💞💯💯
Graph kama graph🤣🤣MVP ambae grafu yake ya performance inashuka..tuache uongo basi..una okota okota rejectView attachment 2694183View attachment 2694184
Graph inasemaje mpaka sasa.?MVP ambae grafu yake ya performance inashuka..tuache uongo basi..una okota okota rejectView attachment 2694183View attachment 2694184
Mkewangu bado unaamini ni ndanda kosovo?Ndanda Kosovo mtupu
😀😀😀Graph kama graph🤣🤣
Halafu Marumo wakitolewa, anakimbilia kwa Usm Alger!! 😃
Hicho ndicho kipindi pendwa cha mateso kwa wapinzani wetu. Kitakapoanza tu, utawaona wanavyoanza kupoteana.
Furaha yote ya uzinduzi wa jezi za kwenye kibegi, itakwisha! Na malalamiko yataanza sasa kutamalaki.
Tukiamua na wewe tutakuunga kwenye mada ya mwasibu andelea kucheza na data za kuokoteza mitandaoni bila kuangalia uhalisiaMVP ambae grafu yake ya performance inashuka..tuache uongo basi..una okota okota rejectView attachment 2694183View attachment 2694184
Tayari wamerudi kwenye utaratibu wao wa kulalamikaHalafu Marumo wakitolewa, anakimbilia kwa Usm Alger!! [emoji2]
Hicho ndicho kipindi pendwa cha mateso kwa wapinzani wetu. Kitakapoanza tu, utawaona wanavyoanza kupoteana.
Furaha yote ya uzinduzi wa jezi za kwenye kibegi, itakwisha! Na malalamiko yataanza sasa kutamalaki.
Muangalie huyu Mtakwimu fake muda huu huko aliko atakuwa ana gugumia tu kwa maumivu. 😁MVP ambae grafu yake ya performance inashuka..tuache uongo basi..una okota okota rejectView attachment 2694183View attachment 2694184
Habari yako mkuu, nakusalimu tuMVP ambae grafu yake ya performance inashuka..tuache uongo basi..una okota okota rejectView attachment 2694183View attachment 2694184
Graph ya kihasibu 😁😁Graph kama graph🤣🤣
Julai 19, 2023! Hata hivyo ulikuwa ni utabiri tu mtani.Huu uzi wa lini jirani?